The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,329
Dini ya kitaahira hii ndio maana chini imeipiga marufuku. India wamasema within 20% watahakikisha wana eliminate uislamu.Yaani mnapeenda kuuchafua uislam kuzifurahisha nafsi zenu
Waislam kwao (kwetu) ngurue haram wameeka wazi kue na sehem maalum za kuuza nyama ya ngurue ila isichanganywe sababu kwetu haram (unajua madhara ambayo yatapatikana ikiwa hilo lingepingwa)
Huko india mnapopaona watu wanaishi salama na wanajua kudeal na waislam kama mnavyodai jamii kubwa ya wahindi wanaabudu ng'ombe wanamuita eti ndio Mungu wao unajua ukichinja Mungu wao kinavyonuka haya hawa nao waislam mpaka wanakua hivi
Kila dini ni bora kwa muumini husika huu ndio ukweli unadhani wewe sijui dini yako ila kama unaamini dini yako sio bora kuliko ya mwengine mbona huiachi hio dini unayoiamini ukahamia budha au ukaabudia Ng'ombe
Uislam una mipaka na miiko yake hua unaongea kweupe hauna unafiq nyama inayochinjwa na kafiri au asiekua muislam hio haram mkipenda ndio ukweli hata mkichukia ndio ukweli mnataka waislam waishi mnavyotaka nyie poleni sana
Uislam munauchukia pamoja na na waislam tena sana ila mtajipa maradhi ya bure sababu uislam haujaanza kupigwa vita leo ila hamjiulizi kwanini tu upo na unaendelea kuepo
Chuki zenu dhidi ya waislam hazitafanya uislam na waislam wasiwepo ama wasiabudu
kitimoto haram nyama inayochinjwa na asie muislam haram vile vile yaani mtu achinje tu kuku kindezi ndezi unilishe poleni sana tuvumilieni hio ndio imani yetu haina unafiq
India waislamu hawaleti upumbavu huo wa sijui kitimoto ni haramu sijui tuwe na bucha zetu sijui ujinga gani, wamepewa masharti ni eitha wakubali kuyafuata kwa lazima ama wafe njaa na wanaishi vizuri tu.
Huku sisi tumewabebeleza sana waislamu haya ndio matokeo yake.