Tetesi: Netanyahu kakimbia Nchi kuokoa kiwiliwili chake

Tetesi: Netanyahu kakimbia Nchi kuokoa kiwiliwili chake

Waziri mkuu wa Serikali ya magaidi ya Israel amekimbia Taifa lake baada ya Iran kutangaza vita rasmi na kupandisha bendera nyekundu
Gaidi huyo amekimbia huku akindikizwa na fighter mbili za wanamgambo wa kiyahudi..


BREAKING:

🇮🇱 Netyanahu is running away from Israel for now

According to a special report from i24NEWS, the Zion Wing aircraft is currently airborne, accompanied by two Israeli fighter jets.
Dah! Sasa anakimbia kuwaachia msala raia wake 🤔🤔🤔
 
Taarifa kutoka Aljazeera zimesema kuwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekimbia inchi kufuatilia taarifa za kiulinzi alizopewa na Mossad.

Amekimbia nchi huku ikiwa imebanika kuwa ameonekana akipanda ndege ikisadikika amekimbilia marekani, hii imekuja baada ya kuwepo uvumi kuwa leo jioni huenda Irani akaishambulia Israel kwa silaha kali za biometiki na hpersonic missiles.

Kujibu mashambulizi ya leo asubuhi ya Israel huko Iran.
 
Back
Top Bottom