Habarini wanaJF,
nakumbuka kauli ya mgombea uraisi wa UKAWA 2015 Ndugu Edward Lowasa alotamka kuwa tatizo la ajira tusipokuwa makini litakuja kuwa bomu, sasa ni rasmi kauli yake imetimia. Kwa sasa ajira kwa wahitimu ishakuwa ngumu, tena baada miaka miwili au mitatu litakuwa kubwa zaidi. Kama ni bomu tunasema bomu la maangamizi yaani nyuklia. Wahitimu wengi watakuwa mitaani hawajui nn chakufanya.
Sasa ni wakati wahitimu kushtuka kujua wakati wa kuchagua kazi umekwisha ulikuwa kipindi hicho JK yupo madarakani,huyu bwana mkubwa ukichagua kazi kiukweli utakufa na njaa hata hela ya vocha utakosa.
Nimeshuhudia vijana wengi wahitimu wapo nyumbani hawaelewi kesho yao. Ukimuuliza anakwambia hakuna ajira, ukimwambia tufanye kazi hii anakwambia jirani au m2 fulani akiniona itakuaje yaani kama anaona aibu. Sasa m2 hafikirii huyo m2 anayemwonea aibu ana msaada gani kwake, hata akipata tatizo hawezi msaidia.
Yaani mhitimu yupo radhi ahame mkoa aende mbali na mkoa ili akafanye kazi ngumu aepuke aibu, wakati pale karibu akitumia fursa vizuri ataweka akiba na kujiajiri kwa sababu atakuwa hana majukumu mazito.
Sasa ni wakati wa kushtuka na kutokuchagua kazi na usimwonee aibu m2 ambaye hana msaada kwako .
nakumbuka kauli ya mgombea uraisi wa UKAWA 2015 Ndugu Edward Lowasa alotamka kuwa tatizo la ajira tusipokuwa makini litakuja kuwa bomu, sasa ni rasmi kauli yake imetimia. Kwa sasa ajira kwa wahitimu ishakuwa ngumu, tena baada miaka miwili au mitatu litakuwa kubwa zaidi. Kama ni bomu tunasema bomu la maangamizi yaani nyuklia. Wahitimu wengi watakuwa mitaani hawajui nn chakufanya.
Sasa ni wakati wahitimu kushtuka kujua wakati wa kuchagua kazi umekwisha ulikuwa kipindi hicho JK yupo madarakani,huyu bwana mkubwa ukichagua kazi kiukweli utakufa na njaa hata hela ya vocha utakosa.
Nimeshuhudia vijana wengi wahitimu wapo nyumbani hawaelewi kesho yao. Ukimuuliza anakwambia hakuna ajira, ukimwambia tufanye kazi hii anakwambia jirani au m2 fulani akiniona itakuaje yaani kama anaona aibu. Sasa m2 hafikirii huyo m2 anayemwonea aibu ana msaada gani kwake, hata akipata tatizo hawezi msaidia.
Yaani mhitimu yupo radhi ahame mkoa aende mbali na mkoa ili akafanye kazi ngumu aepuke aibu, wakati pale karibu akitumia fursa vizuri ataweka akiba na kujiajiri kwa sababu atakuwa hana majukumu mazito.
Sasa ni wakati wa kushtuka na kutokuchagua kazi na usimwonee aibu m2 ambaye hana msaada kwako .