NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,842
Wengi (sio wote)
Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni amateurs ila tu kinachowabeba ni magamba (vyeti)
- IT, computer science, computer engineering, cyber security, data science, n.k kuna vyuo vinatoa hizi fani na wahitimu wapo wengi lakini sioni cha ajabu walichofanya hadi sasa.
Wengi huishia kujua kutumia internet bure ya vpn kwa kujaribu mafaili yaliyotengenezwa na wanaijeria, kuweka mods kwenye games, kushusha software / games / window zilizochakachuliwa, kucheza fifa kwenye ps, kupiga window, kudownload muvi kwa torrents, na vitu vingi ambavyo kiufupi creativity inayohusika ni ndogo,,, yaani happ anajiona anajua kila kitu kwenye pc, wakati kiuhalisia ni beginner.
Naona kuna graduates kibao sana wa haya mambo ila wengi huishia kusubiri kuomba ajira, kuhusu creativity, uvumbuzi ama ku innovate vitu naona bado sana.
Hata yule mtz alieuza system yake ya gesi kwa bilioni 50 sio graduate wa IT, alisomea mambo ya uhasibu ila alikuwa anafanya IT kama ujuzi binafsi.
Edit;
Wengi wanauliza nafanya shughuli ipi,
maelezo >> haya hapa <<
Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni amateurs ila tu kinachowabeba ni magamba (vyeti)
- IT, computer science, computer engineering, cyber security, data science, n.k kuna vyuo vinatoa hizi fani na wahitimu wapo wengi lakini sioni cha ajabu walichofanya hadi sasa.
Wengi huishia kujua kutumia internet bure ya vpn kwa kujaribu mafaili yaliyotengenezwa na wanaijeria, kuweka mods kwenye games, kushusha software / games / window zilizochakachuliwa, kucheza fifa kwenye ps, kupiga window, kudownload muvi kwa torrents, na vitu vingi ambavyo kiufupi creativity inayohusika ni ndogo,,, yaani happ anajiona anajua kila kitu kwenye pc, wakati kiuhalisia ni beginner.
Naona kuna graduates kibao sana wa haya mambo ila wengi huishia kusubiri kuomba ajira, kuhusu creativity, uvumbuzi ama ku innovate vitu naona bado sana.
Hata yule mtz alieuza system yake ya gesi kwa bilioni 50 sio graduate wa IT, alisomea mambo ya uhasibu ila alikuwa anafanya IT kama ujuzi binafsi.
Edit;
Wengi wanauliza nafanya shughuli ipi,
maelezo >> haya hapa <<