Mnaotafuta kazi serikalini, zingatieni hili mtanishukuru

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Jan 2, 2023
229
544
Siku za hivi karibuni hasa hasa kuanzia kipindi cha awamu ya tano ya "mwamba" ajira serikali zimekuwa ngumu sana hata kwa zile kada zinazo ajiri watu wengi kwa wakati mmoja kwa mfano nursing, daktari, walimu, kwenye majeshi n.k

Katika kufuatilia kwa ukaribu swala hili utetezi wa walioko kwenye vitengo husika (Utumishi) ni kwamba waombaji wamekuwa wengi sana sababu ambayo kwa "nje nje" inaonekana ni kweli

Lakini jaribu kufuatilia watu wanaopata hizo ajira utagundua kuwa hiyo sababu inatumika kuwachuja watu wasiojulikana, wasio na chochote, wasio na network yaani wapo wapo na vyeti vyao labda na uwezo wao ambao hawana sehemu ya kuuonyesha

1. Kama wewe huna kadi ya kijani ya chama cha kijani, endelea kusubiri Mwenyezi Mungu ashushe rehema zake

2. Kama wewe na wazazi wako hamna nyaya nyaya zilizounganika unganika na watu walioko kwa serikali wakubwa wakubwa au wadogo wadogo lakini wanaojua milango ya ofisi wanaohusika na ajira, kazana kufunga na kuomba usubiri miujiza

3. Kama wewe una kadi ya kijani ya chama cha siasa cha kijani halafu sio chawa na unajifanya unasimamia misimamo na hutaki kufuata wanachotaka wakubwa zako, nenda kakanyage mafuta ya Mwamposa usubiri miujiza

Tafuta watu unaowaamini hasa vijana walioko vyuoni kwa sasa waulize kwanini kuna trend kubwa sana ya vijana wa vyuo kujiunga na UVCCM na hawaachi kulipa ada za uanachama kielektronic? Ni kweli wanapenda siasa na wanapenda sera za chama hicho au kuna something behind? Kama anakupenda atakupa majibu sahihi

Vijana wa humu, ajira za serikali siku hizi haziendi kwa mtu tuu! Unaambiwa zinaenda kwa watu ambao tayari wapo kwenye data base yao na mwenyekiti wa Taifa (sio mwenyekiti "mkubwa" hapana, wa wadogo) ana nafasi kubwa ya kusema nani aende na nani asiende baada ya kupokea ripoti kwa wasaidizi wake anaowafahamu

Fuatilieni ajira za ualimu na kada ya afya zilizotoka mara ya mwisho angalia profile ya waliopata

Fuatilia wakati ule wa sensa angalia aina ya watu waliopata ile kazi

Najua kuna watu watakuja na mitazamo yao kuhusu hiki nilichoandika pengine na wengine wanaweza kudhani mimi ni mmoja wa wanaotaka "kuwashawishi" vijana kujiunga huko nilikotaja, lahasha! Najaribu kuwafumbua macho tuu!

Kuna wahitimu wa nursing, Doctars, Walimu wa mwaka 2015, 2016 na GPA zao nzuri tu za degree na diploma zao wako mtaani na wakati huo huo kuna wahitimu wa kozi kama hizo hizo wa mwaka 2019,2020, 2021 wako na check number zoa wanakula maisha serikalini. Ni vigezo gani hutumika kuwachuja hawa?? Fanyani ufuatiliaji mdogo tu mtajua ni kwanini

Mwisho

Tatizo hili la "ubaguzi" kwenye ajira haliwezi kumalizwa bila jobseekers kuonyesha hisia zao hadharani kwamba hili linakera

Vijana wa nchi hii amkeni!!!! Mmelala usingizi wa pono!!!

Kina Mwl. Nyerere, Mzee Mugabe, Mandela na wengine wote unaowajua waliopigania haki kutoka kwa wakoloni walifanya harakati hizo wakiwa vijana wabichi kabisa with the age of bellow 30!!

Waliweza kutetea haki zao kutoka kwa wakoloni wazungu pamoja na "udogo" wao, nyie sasa hivi mmeendekeza betting, mapenzi, mpira na ubishoo mkisubiri hao hao wanaowatenga wawatetee
 
Sababu zako hazina ukweli Ila zina hisia tu.

Vijana waliopo vyuoni na waliopo mtaani wengi wamefanana Ila wamepishana mambo madogo Sana wengi hawapo well informed kuhusu nini wafanye na nini wafatilie according to the time and space.

MTU kujiunga ccm sio Sababu yeye kupata Ajira au kufanikiwa Ila inaweza kuwa sababu yeye kutumiwa na wanasiasa Kwa maslahi yao binafsi.

Ushauri.- ni bora kijana akawekeza katika kuwa competent knowledgeable katika career yake kwanza. Ikiwa atajihisi Ana wito au passion ya yeye kuwa Kiongozi basi atafute chama chochote ajiunge.


Kuwa chawa au mpiga debe wa wanasiasa ni kujishushia adhi yako na hakuna MTU atakuzingatia Leo kesho daima.
 
Watu waliotengwa na mfumo kwa kukosa connection na pesa za kuhonga wasihangaike kufungua milango ambayo haifunguki wafungue milango mingine ya utafutaji kupitia vipaji na passion walizonazo kama walivyofanya black Americans wengi miaka ya sitini hadi elfu mbili kipindi mfumo umewatenga
 
Hili suala lako wakati ajira zote zipo chini ya sekretarieti ya ajira halikuwepo kabisa. Mimi binafsi sina connection na yeyote na uongozi wala si mwanachama wa chama chochote cha siasa lkn nilipata kazi ofisi nzuri tu ya serikali. Kwa sasa hivi kwa mfumo wa taasisi kuajiri zenyewe utaleta favouritism kubwa ambayo haijapata kutokea. Watoto wa vigogo watapata kazi kwenye mashirika yanayolipa vizuri lkn watoto wa mkulima wataishia kwenye mishahara ya kawaida.

Sijui nani karuhusu mashirika yaanze kuajiri yenyewe, najiuliza hivi alikuwa hajui chimbuko la kuanzishwa kwa sekretarieti ya ajira?

Kwa ujumla pia malalamiko yako ni ya hisia/dhana zaidi kuliko uhalisia. Hayana fact yoyote.
 
Waliweza kutetea haki zao kutoka kwa wakoloni wazungu pamoja na "udogo" wao, nyie sasa hivi mmeendekeza betting, mapenzi, mpira na ubishoo mkisubiri hao hao wanaowatenga wawatetee
Umekula kwenu? Mimi nimeshaigundua Siri ya mafanikio na hii Siri sitokuja kumwambia mtu yeyote, asije mtu PM
 
Siku za hivi karibuni hasa hasa kuanzia kipindi cha awamu ya tano ya "mwamba" ajira serikali zimekuwa ngumu sana hata kwa zile kada zinazo ajiri watu wengi kwa wakati mmoja kwa mfano nursing, daktari, walimu, kwenye majeshi n.k

Katika kufuatilia kwa ukaribu swala hili utetezi wa walioko kwenye vitengo husika (Utumishi) ni kwamba waombaji wamekuwa wengi sana sababu ambayo kwa "nje nje" inaonekana ni kweli

Lakini jaribu kufuatilia watu wanaopata hizo ajira utagundua kuwa hiyo sababu inatumika kuwachuja watu wasiojulikana, wasio na chochote, wasio na network yaani wapo wapo na vyeti vyao labda na uwezo wao ambao hawana sehemu ya kuuonyesha

1. Kama wewe huna kadi ya kijani ya chama cha kijani, endelea kusubiri Mwenyezi Mungu ashushe rehema zake

2. Kama wewe na wazazi wako hamna nyaya nyaya zilizounganika unganika na watu walioko kwa serikali wakubwa wakubwa au wadogo wadogo lakini wanaojua milango ya ofisi wanaohusika na ajira, kazana kufunga na kuomba usubiri miujiza

3. Kama wewe una kadi ya kijani ya chama cha siasa cha kijani halafu sio chawa na unajifanya unasimamia misimamo na hutaki kufuata wanachotaka wakubwa zako, nenda kakanyage mafuta ya Mwamposa usubiri miujiza

Tafuta watu unaowaamini hasa vijana walioko vyuoni kwa sasa waulize kwanini kuna trend kubwa sana ya vijana wa vyuo kujiunga na UVCCM na hawaachi kulipa ada za uanachama kielektronic? Ni kweli wanapenda siasa na wanapenda sera za chama hicho au kuna something behind? Kama anakupenda atakupa majibu sahihi

Vijana wa humu, ajira za serikali siku hizi haziendi kwa mtu tuu! Unaambiwa zinaenda kwa watu ambao tayari wapo kwenye data base yao na mwenyekiti wa Taifa (sio mwenyekiti "mkubwa" hapana, wa wadogo) ana nafasi kubwa ya kusema nani aende na nani asiende baada ya kupokea ripoti kwa wasaidizi wake anaowafahamu

Fuatilieni ajira za ualimu na kada ya afya zilizotoka mara ya mwisho angalia profile ya waliopata

Fuatilia wakati ule wa sensa angalia aina ya watu waliopata ile kazi

Najua kuna watu watakuja na mitazamo yao kuhusu hiki nilichoandika pengine na wengine wanaweza kudhani mimi ni mmoja wa wanaotaka "kuwashawishi" vijana kujiunga huko nilikotaja, lahasha! Najaribu kuwafumbua macho tuu!

Kuna wahitimu wa nursing, Doctars, Walimu wa mwaka 2015, 2016 na GPA zao nzuri tu za degree na diploma zao wako mtaani na wakati huo huo kuna wahitimu wa kozi kama hizo hizo wa mwaka 2019,2020, 2021 wako na check number zoa wanakula maisha serikalini. Ni vigezo gani hutumika kuwachuja hawa?? Fanyani ufuatiliaji mdogo tu mtajua ni kwanini

Mwisho

Tatizo hili la "ubaguzi" kwenye ajira haliwezi kumalizwa bila jobseekers kuonyesha hisia zao hadharani kwamba hili linakera

Vijana wa nchi hii amkeni!!!! Mmelala usingizi wa pono!!!

Kina Mwl. Nyerere, Mzee Mugabe, Mandela na wengine wote unaowajua waliopigania haki kutoka kwa wakoloni walifanya harakati hizo wakiwa vijana wabichi kabisa with the age of bellow 30!!

Waliweza kutetea haki zao kutoka kwa wakoloni wazungu pamoja na "udogo" wao, nyie sasa hivi mmeendekeza betting, mapenzi, mpira na ubishoo mkisubiri hao hao wanaowatenga wawatetee
We hata hujui unachoandika ilimradi ionekane umeandika. Just be smart in your area.
 
Siku za hivi karibuni hasa hasa kuanzia kipindi cha awamu ya tano ya "mwamba" ajira serikali zimekuwa ngumu sana hata kwa zile kada zinazo ajiri watu wengi kwa wakati mmoja kwa mfano nursing, daktari, walimu, kwenye majeshi n.k

Katika kufuatilia kwa ukaribu swala hili utetezi wa walioko kwenye vitengo husika (Utumishi) ni kwamba waombaji wamekuwa wengi sana sababu ambayo kwa "nje nje" inaonekana ni kweli

Lakini jaribu kufuatilia watu wanaopata hizo ajira utagundua kuwa hiyo sababu inatumika kuwachuja watu wasiojulikana, wasio na chochote, wasio na network yaani wapo wapo na vyeti vyao labda na uwezo wao ambao hawana sehemu ya kuuonyesha

1. Kama wewe huna kadi ya kijani ya chama cha kijani, endelea kusubiri Mwenyezi Mungu ashushe rehema zake

2. Kama wewe na wazazi wako hamna nyaya nyaya zilizounganika unganika na watu walioko kwa serikali wakubwa wakubwa au wadogo wadogo lakini wanaojua milango ya ofisi wanaohusika na ajira, kazana kufunga na kuomba usubiri miujiza

3. Kama wewe una kadi ya kijani ya chama cha siasa cha kijani halafu sio chawa na unajifanya unasimamia misimamo na hutaki kufuata wanachotaka wakubwa zako, nenda kakanyage mafuta ya Mwamposa usubiri miujiza

Tafuta watu unaowaamini hasa vijana walioko vyuoni kwa sasa waulize kwanini kuna trend kubwa sana ya vijana wa vyuo kujiunga na UVCCM na hawaachi kulipa ada za uanachama kielektronic? Ni kweli wanapenda siasa na wanapenda sera za chama hicho au kuna something behind? Kama anakupenda atakupa majibu sahihi

Vijana wa humu, ajira za serikali siku hizi haziendi kwa mtu tuu! Unaambiwa zinaenda kwa watu ambao tayari wapo kwenye data base yao na mwenyekiti wa Taifa (sio mwenyekiti "mkubwa" hapana, wa wadogo) ana nafasi kubwa ya kusema nani aende na nani asiende baada ya kupokea ripoti kwa wasaidizi wake anaowafahamu

Fuatilieni ajira za ualimu na kada ya afya zilizotoka mara ya mwisho angalia profile ya waliopata

Fuatilia wakati ule wa sensa angalia aina ya watu waliopata ile kazi

Najua kuna watu watakuja na mitazamo yao kuhusu hiki nilichoandika pengine na wengine wanaweza kudhani mimi ni mmoja wa wanaotaka "kuwashawishi" vijana kujiunga huko nilikotaja, lahasha! Najaribu kuwafumbua macho tuu!

Kuna wahitimu wa nursing, Doctars, Walimu wa mwaka 2015, 2016 na GPA zao nzuri tu za degree na diploma zao wako mtaani na wakati huo huo kuna wahitimu wa kozi kama hizo hizo wa mwaka 2019,2020, 2021 wako na check number zoa wanakula maisha serikalini. Ni vigezo gani hutumika kuwachuja hawa?? Fanyani ufuatiliaji mdogo tu mtajua ni kwanini

Mwisho

Tatizo hili la "ubaguzi" kwenye ajira haliwezi kumalizwa bila jobseekers kuonyesha hisia zao hadharani kwamba hili linakera

Vijana wa nchi hii amkeni!!!! Mmelala usingizi wa pono!!!

Kina Mwl. Nyerere, Mzee Mugabe, Mandela na wengine wote unaowajua waliopigania haki kutoka kwa wakoloni walifanya harakati hizo wakiwa vijana wabichi kabisa with the age of bellow 30!!

Waliweza kutetea haki zao kutoka kwa wakoloni wazungu pamoja na "udogo" wao, nyie sasa hivi mmeendekeza betting, mapenzi, mpira na ubishoo mkisubiri hao hao wanaowatenga wawatetee
Kwa mustakabali huu hata maana ya elimu yenyewe itaanza kupotea .
Ni bora la saba aamue tu kuwa chawa wa chama cha kijani straight ! atapata tangible rewards mapema sana kuliko kuhangaika na madarasa hadi chuo kikuu. Then ulazimike kuwa chawa tena kupata ajira
 
Watu wakiotengwa na mfumo kwa kukosa connection na pesa za kuhonga wasihangaike kufungua milango ambayo haifunguki wafunguo milango mingine ya utafutaji kupitia vipaji na passion walizonazo kama walivyofanya black Americans wengi miaka ya sitini hadi elfu mbili kipindi mfumo umewatenga
Una point sana sana hapo kwenye passion kipaji kila mtu anacho,
 
Upo sawa, watu tuna struggle lakini hakuna tunachopata , tunajiuliza wenzetu wanatumia Nini? Kumbe umeleta Siri ya mafanikio hapa, ngoja tutumie iyo mbinu tuchanganye na kauchawi kidogo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom