Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Nataka ex wangu afahamu kwamba i' m doin' just fine
Getting along very well
Without him in my life
I don't need him in my life because time has made me stronger and
he is no longer on my mind. Aache kunitafuta
Lazima lyrics zote unakuwa umezikariri hapo unaongeza na he wasn't man enough wa tone ila kama unaendelea vizuri bila yeye hongera zako.
 
Najua unanimisi na unaumia sana Ex wangu lakini yote hayo nilikuambia ukaendekeza kiburi na majivuno yako, sina cha zaidi cha kukusaidia zaidi ya kukupa POLE.
 
Alikwenda chota maji bombani sasa huu mwaka umepita ombi langu arudishe ndoo ya mama mwenye nyumba tu maana imekuwa kero nilijaribu kumnunulia ndoo nyingine hataki anaitaka ile yake.
 
Ulishidwa uvumilivu nilipoenda chuo iringa miaka 4 wewe ukaenda dar kwa mwanaume sasa nimempata mwenye uvumilivu ndio mke wangu ijapokuwa kila mara unanikumbuka na tunawasiliana huku ukisema mimi ndio mume wa maisha yako nasikitika haitawezekana tena.
 
Back
Top Bottom