Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

kwamba ulikua ulifaham hlo mkuu,au ndo uko katika sanaa yako
Mimi nuilijarb nkaumizwa nkaacha nilivyorudi nkaoa moja kwa moja sikutaka mseto tena nsijekufa bure mara maradhiu ya presha, BP, Kisurakari, kichumvi chumvi HIV Ukimwi, kisonono kaswende na wengineo
 
Nimeshawahi kuwa na wanawake wengi baada yake na kuoa nishaoa...But this girl will always be in my mind.I remember her sometimes..15 YEARS since i last saw u,Nasikia upo Arusha nowdays.I wish a could wind the clock and scream to myself dont do that u Idiot!Too late.Wish you well J.
Yours,
C.
 
Mimi nuilijarb nkaumizwa nkaacha nilivyorudi nkaoa moja kwa moja sikutaka mseto tena nsijekufa bure mara maradhiu ya presha, BP, Kisurakari, kichumvi chumvi HIV Ukimwi, kisonono kaswende na wengineo
ukitaka uvikimbie ata kwa ndoa usimfatilie mkeo
 
Nimeshawahi kuwa na wanawake wengi baada yake na kuoa nishaoa...But this girl will always be in my mind.I remember her sometimes..15 YEARS since i last saw u,Nasikia upo Arusha nowdays.I wish a could wind the clock and scream to myself dont do that u Idiot!Too late.Wish you well J.
Yours,
C.
ataupokea ujumbe wako
 
Kuna dada nilikutana nae kwenye gari, na nilikua Nakaa nae jirani. Kujisachi alisahau wallet mdogo yenye hela. Mara akaanza kucheka, konda aliendelea kukusanya kwa wengine, bibie nikamuelewa sababu majirani mtaa mmoja, nikampa kama elfu kumi.
Then, akanipa namba ya simu jioni, nikaifuate hela yake, nikaenda, kukuta anatoka kuoga na khanga, nikajikuta nimemgonga, kumbe alitoka kuachana na mmewe, sasa nikawa kama nimehamia kwake. Saa nyingine naamka saa kumi na moja, naenda kumgonga kisha tunaenda job. Akahamia eneo lingine nikaendelea, akahamia Kinondon kama kawa.
Akaja akapata Mimba ikatoka, huyu dada najua ananipenda, alikua anaenjoy sana sex, mpaka wenzie walinitafuta.
Nikaja kusikia ameolewa na tajiri mmoja Mbez Beach, majuz kaja home naambiwa gari ya kifahari nimegoma kutoka. Alichukia,
Lakn sirudi nyuma...naona ana majanga ndan ya ndoa anataka aniambie
 
Kwa sasa siwezi kufika alipo almost nikitumia laki kwaajili ya zawadi nitajutia hivyo bado kipato changu kidogo...nikiweza kumpa zawadi ya gari nahisi huo ndo uwezo mkubwa ninaou.maanisha mkuu
Umeeleweka mkuu
 
Kuna dada nilikutana nae kwenye gari, na nilikua Nakaa nae jirani. Kujisachi alisahau wallet mdogo yenye hela. Mara akaanza kucheka, konda aliendelea kukusanya kwa wengine, bibie nikamuelewa sababu majirani mtaa mmoja, nikampa kama elfu kumi.
Then, akanipa namba ya simu jioni, nikaifuate hela yake, nikaenda, kukuta anatoka kuoga na khanga, nikajikuta nimemgonga, kumbe alitoka kuachana na mmewe, sasa nikawa kama nimehamia kwake. Saa nyingine naamka saa kumi na moja, naenda kumgonga kisha tunaenda job. Akahamia eneo lingine nikaendelea, akahamia Kinondon kama kawa.
Akaja akapata Mimba ikatoka, huyu dada najua ananipenda, alikua anaenjoy sana sex, mpaka wenzie walinitafuta.
Nikaja kusikia ameolewa na tajiri mmoja Mbez Beach, majuz kaja home naambiwa gari ya kifahari nimegoma kutoka. Alichukia,
Lakn sirudi nyuma...naona ana majanga ndan ya ndoa anataka aniambie
acha uwoga mkuu,
 
Nimeshawahi kuwa na wanawake wengi baada yake na kuoa nishaoa...But this girl will always be in my mind.I remember her sometimes..15 YEARS since i last saw u,Nasikia upo Arusha nowdays.I wish a could wind the clock and scream to myself dont do that u Idiot!Too late.Wish you well J.
Yours,
C.
Mkuu mbona J ndo peke yake una miss kwann??,
 
Back
Top Bottom