Yaani kuna mmoja huyo tangu aione sijui aisikie wapi kakazana kucomment Looooool kila comment ichekeshayo anajibu Looooool sasa najiuliza hizi Out zote za nini kulikua na haja gani ya kulifupisha. Ila ndo vile tena kitu hukielewi unadakia na kuongeza chumvi na sukari kumbe ndo waharibu na kuonesha ujinga wako uko mwingi kiasi gani.Hata mimi huwa nashangaa wana maana gani! ingekuwa looo! ya mshangao ningeelewa lakini hiyo nyingine ni kituko!
hata mimi neno a.k.a lilinitesaga sana,kila nikipita huku a.k.a nikawa najiuliza ndio nini hiki?
......Vmark upo Mkuu wasalimie chuga !!
Too late mkuu.
Yaani kuna mmoja huyo tangu aione sijui aisikie wapi kakazana kucomment Looooool kila comment ichekeshayo anajibu Looooool sasa najiuliza hizi Out zote za nini kulikua na haja gani ya kulifupisha. Ila ndo vile tena kitu hukielewi unadakia na kuongeza chumvi na sukari kumbe ndo waharibu na kuonesha ujinga wako uko mwingi kiasi gani.
nikweli lakini huoni kama,utajiju,inahuu,ajeaje,lol yamekaa kikekike flan!!?
na WTF?
sidhani kama linastahil au lianavutia kutumika na mwananume .
sidhani kama linastahil au lianavutia kutumika na mwananume .
LMAO... Lough My Ass Off
SMH... Shake My Head (Inasikitisha)
OMG... Oh My God (Mungu wangu!)
LOL!... Lough Out Loud (Inafurahisha, unachekesha...)
TGIF... Thank God It's Friday (Yaani ni siku ambayo utalala muda mrefu kwakuwa siku inayofuata unapumzika)
PYA...Protect Your Ass (Yaani kuwa makini na ufanyalo)