Neno " lol " lina maana gani?

Hata mimi huwa nashangaa wana maana gani! ingekuwa looo! ya mshangao ningeelewa lakini hiyo nyingine ni kituko!
Yaani kuna mmoja huyo tangu aione sijui aisikie wapi kakazana kucomment Looooool kila comment ichekeshayo anajibu Looooool sasa najiuliza hizi Out zote za nini kulikua na haja gani ya kulifupisha. Ila ndo vile tena kitu hukielewi unadakia na kuongeza chumvi na sukari kumbe ndo waharibu na kuonesha ujinga wako uko mwingi kiasi gani.
 
Yaani kuna mmoja huyo tangu aione sijui aisikie wapi kakazana kucomment Looooool kila comment ichekeshayo anajibu Looooool sasa najiuliza hizi Out zote za nini kulikua na haja gani ya kulifupisha. Ila ndo vile tena kitu hukielewi unadakia na kuongeza chumvi na sukari kumbe ndo waharibu na kuonesha ujinga wako uko mwingi kiasi gani.

Lovely our lucifa
Wakati wa mshangao
Haa haa!
 
LAUGHING OUT LOUD hki ndicho kirefu cha lol!.
mukiwa munachati uktumiwa kitu kchekeshako kuokoa muda na kumuonesha kama umecheka kwa saut au sana unamtext lol!.inatumika kwa jinsia zote
 
Na hili tbt wadau mana yake?


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
LMAO... Lough My Ass Off
SMH... Shake My Head (Inasikitisha)
OMG... Oh My God (Mungu wangu!)
LOL!... Lough Out Loud (Inafurahisha, unachekesha...)
TGIF... Thank God It's Friday (Yaani ni siku ambayo utalala muda mrefu kwakuwa siku inayofuata unapumzika)
PYA...Protect Your Ass (Yaani kuwa makini na ufanyalo)

LMAO kwa kiswahili ina maanisha nini mkuu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom