Neno la leo: Usitoe ahadi mahali popote kwa mihemko

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Habarini!

Suala la ahadi limevunja urafiki, undugu, na hata wengine kukimbia nyumba za ibada.

Tatizo ni nini hasa?

Tatizo sio kuahidi au kutoa nadhiri, tatizo ni kutoa ahadi kwa mhemko.

Kabla hujatoa ahadi lazima uangalie uchumi wako hasa, kama suala linahusu fedha au Mali, kama linahitaji muda basi tazama ratiba yako vizuri.

Kama suala linahitaji maamuzi ya watu kadhaa au familia usitoe ahadi haraka.

Asanteni, nawasilisha.
 
Pointi hiyo.
Watu tunataka sifa tuonekane kwa watu tumeahidi mil.2 na kupigiwa makofi mengi wakati hela hiyo hujawahi shika toka uzaliwe.
Matokeo yake ukimuona mchungaji au shekhe njiani unabadili njia fasta na kuabudu huendi tena.
 
Ahahahahaha.
Mtu anabadili njia kumkwepa kiongozi wake wa dini.
Pointi hiyo.
Watu tunataka sifa tuonekane kwa watu tumeahidi mil.2 na kupigiwa makofi mengi wakati hela hiyo hujawahi shika toka uzaliwe.
Matokeo yake ukimuona mchungaji au shekhe njiani unabadili njia fasta na kuabudu huendi tena.
 
Ulitaka utoe ahadi ya kuwapeleka maharusi Serengeti National park? [/QUOTE]bwana we, nimepigwa offer bia 4 alafu nimeambiwa nitoe ahadi ha ha ha ha
 
Ulitaka utoe ahadi ya kuwapeleka maharusi Serengeti National park? [/QUOTE]bwana we, nimepigwa offer bia 4 alafu nimeambiwa nitoe ahadi ha ha ha ha
 
katika mambo nayoyakwepa ni kutoa ahadi, ingawa kuna mda nalazimishwa kutoa ahadi lakini nakwepa kinamna.
 
Back
Top Bottom