Rogie na Mlanje please note....Binadamu tuna tabia ya kusahau......
Trust me my dear friend...... wengi wanao-demand a perfect guy they are worse......
Dunia ndio hii, we are all not perfect, of course you can make a perfect moment but not a person
kukaba hakusaidii...... believe me......Word....
Ndiyo maana huwa tunawashangaa watu kwa kutothamini vyao hadi viwaponyoke....
Ila naamini mdau anakaba hadi penalt!!
ha haaa, hapa huwezi ku-avoid type I na hata II error kwa kutest hii hypothesis....haaa Fixed Point please note........mkuu mwenzangu Dark City hapo hiyo hypothesis tunaweza kuitest? na tuka avoid Type I error? LOL
Mie ni perfect mkuu....uliza vimada wangu
Rogie na Mlanje please note....
Halafu, eti Fixed Point mbona sioni mabinti wa humu kwen hii sredi? Yaani hekima zote hizi kweli hawazioni kutoka kwa dada yao mkubwa Fixed Point? amu kachungulia huyooooo......kachapa lapa... hawa wengine sijui wana makengeza?
nimeinote with concern maana mabazazi na vibazazi wote wapo hapa.......
Yeah kaka,nashukuru Mungu nilijitambua katika umri mdogo kwakweli.
Rogie na Mlanje please note....
Halafu, eti Fixed Point mbona sioni mabinti wa humu kwen hii sredi? Yaani hekima zote hizi kweli hawazioni kutoka kwa dada yao mkubwa Fixed Point? amu kachungulia huyooooo......kachapa lapa... hawa wengine sijui wana makengeza?
nimeinote with concern maana mabazazi na vibazazi wote wapo hapa.......
ha haaaa, natamani kusema saaanaaaa but ngoja ni shut up!Rogie na Mlanje please note....
Halafu, eti Fixed Point mbona sioni mabinti wa humu kwen hii sredi? Yaani hekima zote hizi kweli hawazioni kutoka kwa dada yao mkubwa Fixed Point? amu kachungulia huyooooo......kachapa lapa... hawa wengine sijui wana makengeza?
nimeinote with concern maana mabazazi na vibazazi wote wapo hapa.......
Mkuu,we are all not perfect but trust me kuna watu ni "Perfect"
Mkuu,we are all not perfect but trust me kuna watu ni "Perfect"
hata mimi nimeiona rafiki.......
wangu ana-EXIST
ha haaaa, natamani kusema saaanaaaa but ngoja ni shut up!
kama kila mtu angekuwa hata robo ya mtu fulani (natamani sana nimtaje), hakika hali ingekuwa nzuri sana....... Much respect to him (from the bottom of my heart)
being a human being huwezi sema anaweza kuwa perfect, but anatisha........Mkuu,we are all not perfect but trust me kuna watu ni "Perfect"
Fixed Point ungemsema tuu na yeye ajisikie kuwa anatimiza kile kinachotakiwaha haaaa, natamani kusema saaanaaaa but ngoja ni shut up!
kama kila mtu angekuwa hata robo ya mtu fulani (natamani sana nimtaje), hakika hali ingekuwa nzuri sana....... Much respect to him (from the bottom of my heart)
ha haaa, hapo rafiki niliiacha ina-hang kwa makusudi.......Umeona eeh. He is perfect to you lkn anaweza asiwe kwa Joyce.
Lakinj mimi napenda kutumia zaidi Right Guy kuliko perfect. Perfection iko kwa Mungu tu.
ha haaaa, natamani kusema saaanaaaa but ngoja ni shut up!
kama kila mtu angekuwa hata robo ya mtu fulani (natamani sana nimtaje), hakika hali ingekuwa nzuri sana....... Much respect to him (from the bottom of my heart)