Neno la leo: The Perfect Guy

Neno la leo: The Perfect Guy

.......and they say a beer gives a perfect moment....:biggrin1:

BTW: Hii perfection (actually it is more being close to perfection) iko specific...
Ofkoz hakuna general perfection...
 
Mkuu Mr Rocky, I simply stated the obvious, sijakatisha mtu tamaa hapo

Ila hommie ukasahau kitu kimoja. Huyo perfect guy ambaye haexist, anaweza tu akaexist, kama na kama tu ana mahela ya kutosha. Them girls wakishaona una mahela mengi wanakuwa hawakuoni ukinywa ukivuta na ofkozi wakikukuta na mwanamke mwingine hata kama mko kitandani uchi mnafanya dhambi, wanaamini ulikuwa unampa business plan....
 
Last edited by a moderator:
Hommie Kaizer, mi si exist asee. Sasa hebu jioni pita kwa shem wako umuulize niaje vipi anaendelea kubanana na mimi dead meat???

hahahaha hommie Asprin, saa nyingine shemeji huwa na akili ya kugundua kwamba "you are nit perfect" aisee
 
Last edited by a moderator:
Ila hommie ukasahau kitu kimoja. Huyo perfect guy ambaye haexist, anaweza tu akaexist, kama na kama tu ana mahela ya kutosha. Them girls wakishaona una mahela mengi wanakuwa hawakuoni ukinywa ukivuta na ofkozi wakikukuta na mwanamke mwingine hata kama mko kitandani uchi mnafanya dhambi, wanaamini ulikuwa unampa business plan....

Hakyamama hommie Asprin hii statement yako hii itakuletea matatizo..maana ndugu yangu RR huwa ana "mtizamo"wake wa leo, na hivi leo kasema hivi, namnukulu" Ukiwa na mpenzi 'ANAYEVUTIA' ni sawa na kufungua akaunti benki yetu ile ya makabwela, hivyo suala la FOLENI ni la kawaida"....mwisho wa kumnukulu
 
Last edited by a moderator:
No you are wrong I exist(Kwa kumwogopa mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi mimi ni kijana mwaminifu na naamini tupo wengi maana sivuti sigara,sinywi pombe,sidanganyi kwenye mapenzi na ni mwaminifu sana kwenye mapenzi na sifa nyingine tele tupo wengi sana bwana)
Mlanje naomba uendelee kuwa wmaminifu hivyo hivyo, hapo kwenye bold hapo...UMEOA?
 
Last edited by a moderator:
Yeah na tukikumbuka kuwa we were perfect comrades enzi za ujana na hadi leo Dark City bado ni perfect comrade na hana mpinzani
cc Asprin na Teamo

hahaha sometimes umri unatulazimisha kuwa perfect guys. Enzi za ujana wake Dark City, there was no way angekuwa perfect guy kwa mujibu wa rasimu ya katiba ya Kaizer.

Cc: Kaizer, kwa taarifa tu kuwa kuna perfect guy wa kizazi kipya anatembelea nyota ya Kaiser
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom