Neno jipya la mjini"Mzee baba"

Neno jipya la mjini"Mzee baba"

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,065
Kama ambavyo inajulikana manenk mengi ya kitaa huanzia jela.. Inasemekana jela ndiyo kuna masela wengi na maneno mengi ya kihuni huanzia huko.

Ingizo jipya mwaka huu ni neno'mzee baba"hili lina maana ya mchizi wangu...msela,Mwana..kachala..na mengine yafananyo na hayo..kwa mfano unaweza kumwita jamaa yako ..oya mzee baba hebu njoo Mara moja.

Ikutoshe tu kwa hayo.
 
Kama ambavyo inajulikana manenk mengi ya kitaa huanzia jela.. Inasemekana jela ndiyo kuna masela wengi na maneno mengi ya kihuni huanzia huko.

Ingizo jipya mwaka huu ni neno'mzee baba"hili lina maana ya mchizi wangu...msela,Mwana..kachala..na mengine yafananyo na hayo..kwa mfano unaweza kumwita jamaa yako ..oya mzee baba hebu njoo Mara moja.

Ikutoshe tu kwa hayo.

Siyo jipya hilo..may be umechelewa kulijua but nina zaidi ya miezi 6 nimelisikia na nimelitumia pia
 
Siyo jipya hilo..may be umechelewa kulijua but nina zaidi ya miezi 6 nimelisikia na nimelitumia pia
We unafirigiswa??si ungepost..au tumbo la blid linakusumbuaa..maana .Nasikia Una blidi kokwa za embe badala ya damu..
 
We unafirigiswa??si ungepost..au tumbo la blid linakusumbuaa..maana .Nasikia Una blidi kokwa za embe badala ya damu..

Mkuu sioni haja ya kutukana...halafu matusi hayajusaidii kitu kikubwa tu mi nakuona hujielewi..kila mtu anajua matusi but kwangu hayasaidii kitu kabisa na nakuona mtoto sana ukikua utaacha..sioni sifa kusema hivi lakini kama matusi level nilikuwa ni EXPERT.Angalia sana..ni ushauri wa bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom