Neno Gere la Weusi limekaa ki taarabu sana

Neno Gere la Weusi limekaa ki taarabu sana

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,523
Reaction score
2,164
gere+COVER+copy.JPG

Akina Joh makini, nikki wapili, na G-Nako hili hawakuliangalia vizuri !

Lina maadhi ya Taarabu na ki kike sana !
 
Sikiliza mistari ya track jina sio issue
 
Sikiliza mistari ya track jina sio issue



Ingekuwa jina sio ishu ! Basi wengi wangetoa track bila majina !

Ungekuwa unaelewa Fasihi vizuri! Usingeandika haya !
 
Haishangazi kwa washamba kujichanganya!...hawajui mengi ya mji huu kuanzia lugha, misemo nk.
 
"Kama unachukia vaa miwana usione Gere"
 
Nina mashaka na uelewa wako wa maneno ya kiswahili na matumizi katika fasihi.
 
So Hip Hop ni kwa wanaume tu?


Hip Hop ina nguzo nyingi ! Haiwezi kuwa kwa wanaume tu !

Ila neno ''Gere'' lina maadhi ya kike na ki taarabu !
 
Katika hili kundi namkubali sana G Nako.
 
Wewe ni mtaalamu wa kiswahili??? au ni "matter of pure opinion"???
 
hivi nani alieimba hivi...bure unanionea gere na kujifanya hasidi......sio msondo wale.hivi nao wanaimba tarabu
 
Do not judge a book by look on its cover.


Somehow man !
''GERE'' isn't haphazard word to you!
N now you drop childish quotation !

Peel it off if you've no views regarding ''GERE''
 
Back
Top Bottom