Tupo wengi ambao tunafanya kazi kwa maadili.Wabongo kwa ku pretend hatujambo. Hivi ni nani ambaye angepewa nafasi kama aliyokuwa kapewa mchechu na a sipige ulaji? Kwa miaka ya leo hii yupo?
Chuki tu na ubinafsi na roho mbaya. Kujiona malaika kumbe mbwembwe tu, useless kabisa