Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
Joseph Sinde Warioba.Nitajia kiongozi yoyote mkubwa serikalini ambaye hajawai kuiba. Mmoja tu
Joseph Sinde Warioba.Nitajia kiongozi yoyote mkubwa serikalini ambaye hajawai kuiba. Mmoja tu
Una ushahidi au ni wale wenye kuchukia matajiri tu...au ni team NHC mliokua mnataka nafas yake liwake jua inyeshe mvua aliyelifufua ilo shirika ni mchechu lilishakufa kama shrka la reli au kiwanda cha urafiki acheni chuki na husda...jamaa ni smart kchwan ambae ni msafi ni nani ktk haya mashrka...ata ktk biblia watu kama nyie mlitajwaConflict of Interest, Ina maana ndefu kwa ufupi pale unapotumia Personal company na kupata tenda kwenye shirika unaloongoza mwenyewe, madhara yake
1.Miradi mingi bei walioverstate ili kampuni binafsi zipate pesa nyingi
2.personel company inanunua maeneo kwanza halafu unaliuzia shirika unaloendesha mwenyewe kwa bei kubwa
Kwa kipindi cha mkwere hata mimi ama wewe ama mtu mwingine yeyote yule angefanya vile tu.
Tusijivike umalaika tusiostahili