Poleni ila mkae mkijua Mungu bado anamakusudi na nyinyi, bado anawapa muda wa kujichunguza na kutafakari. Hii ni fundisho kwetu wote, tunapaswa kujiweka tayari wakati wote kwa kutenda sawasawa na Mungu anavyotaka kwa kumkubali kuwa Bwana na Muokozi wa maisha yetu.