Neggirl anusurika katika Ajali ya gari.

Neggirl anusurika katika Ajali ya gari.

Pole sana neggirl yaani inanikumbusha matukio kama mawili niliyonusurika kufa!!

Pamoja na hayo mamito unaweza ukajikaza ukatueleza chanzo cha ajali kilikuwa nini???

Narudia tena pole sana Mungu azidi kukulinda katika maisha yako yote.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana na Mshukuru Mungu.

Ila hiyo gari kwa chini mbona kama inaonekana imeoza kiasi?

Pia hiyo tairi ya nyumba sijui ni camera au ndo imekwisha hivyo?
 
Mungu ashukuriwe kwa matendo yake makuu. Endelea kumshukuru na kutenda yaliyo mema kwani kila dakika tunayoongezewa ina kusudi kubwa mbele za muumba.
 
Kingmairo Tuko Mzee wa Rula atall....jinsi gani ajali ilitokea - to be honest yani hata sielewi vizuri .. but nachokumbuka break zilizingua then gari ikagonga ukuta na kupinduka. Hatukua katika mwendo mkali but katika hyo sehemu barabara imekaa vibaya na kuna mteremko.
 
Last edited by a moderator:
Kingmairo Tuko Mzee wa Rula atall....jinsi gani ajali ilitokea - to be honest yani hata sielewi vizuri .. but nachokumbuka break zilizingua then gari ikagonga ukuta na kupinduka. Hatukua katika mwendo mkali but katika hyo sehemu barabara imekaa vibaya na kuna mteremko.

Dah... pole aisee
 
Pole sana na Mshukuru Mungu.

Ila hiyo gari kwa chini mbona kama inaonekana imeoza kiasi?

Pia hiyo tairi ya nyumba sijui ni camera au ndo imekwisha hivyo?

Mkuu EMT mimi si mwelewa sana wa magari.. but tumepeleka service rafiki.
 
Last edited by a moderator:
Kingmairo Tuko Mzee wa Rula atall....jinsi gani ajali ilitokea - to be honest yani hata sielewi vizuri .. but nachokumbuka break zilizingua then gari ikagonga ukuta na kupinduka. Hatukua katika mwendo mkali but katika hyo sehemu barabara imekaa vibaya na kuna mteremko.
Aisee pole sana mdau. Sometimes it happens, wadhungu husema ......."the bloody day has no colour"!
 
Back
Top Bottom