Kingmairo Tuko Mzee wa Rula atall....jinsi gani ajali ilitokea - to be honest yani hata sielewi vizuri .. but nachokumbuka break zilizingua then gari ikagonga ukuta na kupinduka. Hatukua katika mwendo mkali but katika hyo sehemu barabara imekaa vibaya na kuna mteremko.
Aisee pole sana mdau. Sometimes it happens, wadhungu husema ......."the bloody day has no colour"!Kingmairo Tuko Mzee wa Rula atall....jinsi gani ajali ilitokea - to be honest yani hata sielewi vizuri .. but nachokumbuka break zilizingua then gari ikagonga ukuta na kupinduka. Hatukua katika mwendo mkali but katika hyo sehemu barabara imekaa vibaya na kuna mteremko.