Neggirl anusurika katika Ajali ya gari.

Neggirl anusurika katika Ajali ya gari.

I bet wewe ndo ulikuwa unaendesha....:smile-big:

Jamani Mentor kwa nini mimi na sio mtu mwingine???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Uanzapo safari, uwapo safarini, umalizapo safari...MTANGULIZE, MUABUDU NA KUMTEGEMEA MUUMBA PEKEE.
Pole sana kwa ajali iliyowakumba.
 
Helo Marafiki wa MMU! Natumaini wote ni wazima. Nilipata ajali Jumamosi 23/3/2013 nikiwa na familia yangu, namshukuuru Mungu hakuna aliyeumia.

Nakiri ya kuwa Bwana ndiye mchungaji wangu na Sitapungukiwa na kitu. Nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

Kila iitwapo leo tusisahau kumtanguliza Mungu ktk shughuli zetu.. As sisi binadamu tunapanga mengi lakini yeye ndiye anaejua kesho yetu itakuwaje. Love u all.
Ilikuwaje hadi ikaanguka?
 
Pole sana mkuu,
na Bwana awe Mchungaji wako kila utokapo na uingiapo.
 
Pole sana neggirl. Hakika Zab. 23 ndiyo jibu la yote. Ni kumpa Mungu shukrani kwa uhai maana yeye ndiye anayeushikilia.
 
Daaaaaaaaaah pole sana neggirl,thanx u got out alive would have miss u alot!
 
Last edited by a moderator:
aisee pole sana neggirl na tumsukuru mungu kwa kila jimbo!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana.BWANa bado anakuhitaji na familia yako mtumikieni kwa moyo , nguvu na mali zenu kuzidi ulivyokuwa unafanya kabla ya ajali
 
Back
Top Bottom