Baraza la chama cha mapinduziMule walichofuata ni maslahi ya matumbo yao tu
Mi nimekuuliza chama gani wewe unanijibu vyama vipo vingi! Kwa hiyo utaweka vyama vyote vingi vishike Dola!? Najua vyama vipo vingi! Swali je ukisha itowa CCM utaweka Chama gani kishike Dola!? Tuanzie hapo kwanza!!Vyama vipi vingi tu kwani ccm ina sifa gani zaidi ya wizi tu?
Ccm ni majizi tuMi nimekuuliza chama gani wwe unanijibu vyama vipo vingi! Kwa hiyo utaweka vyama vyote vingi vishike Dola!? Najua vyama vipo vingi! Swali je ukisha itowa CCM utaweka Chama gani kishike Dola!? Tuanzie hapo kwanza!!
Hahahaaaa...... Wewe unadhani mjengoni wanaingia kirahisi?Duuh aisee hii kauli itamcost baadaye inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi. Wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite,umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli hasa miaka hii ya technologia.
Possible kabisa. Wanasiasa ni wapumbavu sana sometimesDuuh aisee hii kauli itamcost baadaye inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi. Wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite,umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli hasa miaka hii ya technologia.
Kweli wewe ni Mmawia! Nimekuuliza mbadala wa Majizi CCM Ni Nani!? Au hujui unachokitaka!?Ccm ni majizi tu
Ni wakwapuaji wakubwaKweli wwe ni Mmawia! Nimekuuliza mbadala wa Majizi CCM Ni Nani!? Au hujui unachokitaka!?
Haya tuwatowe wakwapuaji,tumuweke Nani!? Kwa Mara ya mwisho hii usiponipa jibu nitakupa homework!!Ni wakwapuaji wakubwa
Sijihangaishi na waporajiHaya tuwatowe wakwapuaji,tumuweke Nani!? Kwa Mara ya mwisho hii usiponipa jibu nitakupa homework!!
Wamekupora nini!? Ebu niambie mi siwaogopi nitawachana live humu humu bila kupepesa!!Sijihangaishi na waporaji
Ile kwamba alimtoa kafara mkewe🙉Hahahaaaa...... Wewe unadhani mjengoni wanaingia kirahisi?
Alichotuhabarisha huyo mbunge ndio ukweli wenyewe kama unabisha tafuta clip ya mahojiano ya Salama Jabir na Babu Tale!
Anatakiwa yeyote anaeweza kuwajibishwa. Mamlaka halisi yanapaswa kutoka kwa wananchi.Haya tuwatowe wakwapuaji,tumuweke Nani!? Kwa Mara ya mwisho hii usiponipa jibu nitakupa homework!!
Kuiba kura na kushinda kura ni vitu viwili tofauti kabisa japo vinafanana.Saint Anna unawezaje kusema ccm ilishinda kwa kishindo wakapeana viti viwili viwili maalumu????
Ccm ilishinda ama iliiba kwa nguvu 2020????
Acheni udanganyifu huu! Hata mtoto wa miaka mitano knows what took plce!!!
Nafikiri katupa dongo kwa mtu, sio bure.View attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Wanapaona paradisoView attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Duuh aisee hii kauli itamcost baadaye inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi. Wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite,umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli hasa miaka hii ya technologia.