Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
12 Million 😂😂😂 sawa sawa na gharama ya kuingiza IST 1 kila mweziHiv nje ya posho hawa jamaa wanalipwa how much kwa mwezi?
12 Million 😂😂😂 sawa sawa na gharama ya kuingiza IST 1 kila mweziHiv nje ya posho hawa jamaa wanalipwa how much kwa mwezi?
Kujenga nchi au kujenga ChatoUchaguzi ulishakwisha tujikite kwenye kujenga nchi!
Hapo kasema ukweli ndio tabia ya ccm hiyo,mwili mkubwa akili kisodaView attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Umekosea kuisema, sasa ikitokea utakuwa ni weweDuuh aisee hii kauli itamcost baadaye....inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi.....wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite,umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli hasa miaka hii ya technologia
Alichokisema ndiyo kilichomo kwenye mioyo ya wanaccm woooooote. Ndiyo maana wakati wa uchaguzi uvccm wanakata watu mapanga ovyo na kumwaga damu za watu wasiokuwa na hatia. Ilaaniwe CCM mpya.View attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Wapo waliotoa watoto wao kafara, mwingine alimtoa mkewe kafara.Kuna mbunge humo ndani ni bosi bosi tu, alimchapa mtu bakora ya kichwa hadi akazimia kisa Ubunge!!
Huyo dada kasema ukweli.
Kule Kuna ukwasi na matumizi,Kama sio bongo vile.View attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Kweli wengi wao wanatamani kufanya hivyo japo siyo wote wanaofanikiwa kutekeleza hayo mauaji.Hapo kasema ukweli ndio tabia ya ccm hiyo,mwili mkubwa akili kisoda
Ndiyo maana mwenye akili timamu huwa anatafakari kabla ya kuongea kuogopa madhara baadaye.....Mi nakukumbusha tu nawewe usikurupukeUmekosea kuisema, sasa ikitokea utakuwa ni wewe
12 Million sawa sawa na gharama ya kuingiza IST 1 kila mwezi
Ukisha iiondowa CCM,Chama gani kinafaa kushika Dola!?Hakika bila kuiondoa ccm kama ilivyotokea kwa UPC na KANU watanzania tusitegemee maendeleo
Wanachanganyikiwa maana 340,000 kwa siku bado 12M kwa mweziDuuh aisee hii kauli itamcost baadaye inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi. Wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite,umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli hasa miaka hii ya technologia.
Hawajui hata wanafanya niniDa inauma sana eti hicho ndicho Magufuli alichokipigania,wamebaki wao wanatuonyesha mazingaombwe sasa
Mule walichofuata ni maslahi ya matumbo yao tuHawajui hata wanafanya nini
Vyama vipi vingi tu kwani CCM ina sifa gani zaidi ya wizi tu?Ukisha iiondowa CCM,Chama gani kinafaa kushika Dola!?