Need to launch complaint against GSM GROUP

Need to launch complaint against GSM GROUP

Dear once contract made there is notice before termination, or lumsum amount with your monthly salary which u worked nothing has been paid.

Okay, now I see, you should be expecting not less $48,000. this is worth fighting for.
We have an incidence here in Tanzania of one indian national a PHD, who was maltreated by his bosses somewhere, not fully like you, and our courts awarded him a life fortune judgement.

So I also argue to fight & fight & fight untill the justice is awarded.
 
Kumbe mnakuwaga sio nduguu...mnapeana tu mijikazi wakati sie watanzania tupo kufanya kazi Kama hizo...anyway.
 
During the tunure you worked with that lady do you think they view you as an obstacle on bending something?
You know you need to be firm on this or otherwise we will treat the matter as handbag war ( inside there are lipsticks,keys powder razor ) always fighting.
Search Makonda on instagram - that boy right now has got nothing to work on right now#- watu wasiojulikana
Ok sure
 
Okay, now I see, you should be expecting not less $48,000. this is worth fighting for.
We have an incidence here in Tanzania of one indian national a PHD, who was maltreated by his bosses somewhere, not fully like you, and our courts awarded him a life fortune judgement.

So I also argue to fight & fight & fight untill the justice is awarded.
thx
 
Utasaidiwa Kaka, Ukipata email ya Makonda mchezo umeisha.

Lakini nimepata shaka sana na uwezo wako na nafasi uliyokuwa nayo kama GM, umeshindwa kabisa kujieleza kwa mtiririko wa kueleweka.

Kwa kweli watu wa Labour wanastahili kutumbuliwa sioni uwezo wowote wa huyo Bwana kupewa Permit ya kufanya kazi kama mgeni na kwa cheo alichokuwa nacho
Kabisa,hii ni dharau kwa Watanzania.
 
Swali langu ni moja tu kwa GSM.Hivi hapa Tanzania hamkuweza kupata Mtanzania wa kumwajiri mpaka mlete muhindi mwenye kingereza kibovu kushinda hata cha kwangu.
Ukiweka manager wa kihindi umejihakikishia mbinu za kukwepa kodi,kulipa vimshahara vidogo na kuwatisha wazalendo ili wavunge mdomo...kitu ambacho usingekipata kwa mswahili meneja
 
GSM wana nguvu sana,..kuna lorry lao nilinikwangua ubavuni halafu dereva akaanza kuleta nyodo nikamwambia subiri nikuonyeshe.
...alinikwangulia hapo maeneo ya Tazara_Vetenary,..nikamkamatisha hapo Serengeti mpaka wakaita fundi wao ndio akaondoka...kuna watu hapo maeneo ya Serengeti ni madereva wa malori wakaanza eti niwaache coz sitawaweza..stupid

Wana nguvu sana....ni sawa ila mbona nawaona kama ni very very stupid people?

Yanini unagombana na mfanyakazi mmoja eti kisa vimafao vyake?Hii kwa mfanyabiashara mwenye akili ni stupidity ya hali ya juu....

Mimi hua sijaji mtu kwa maguvu na mikelele na who he knows,naangalia ana akili na ujanja kiasi gani.....Huwezi tegemea kugombana na kila mfanyakazi wako anaeacha kazi kisa mafao,ni upumbavu sana...tena mkubwa tuu....

Huwezi mmbana mwanadamu kwenye ukuta halafu akakaa anakuangalia tu,lazima hero gene yake i-take over ili kulinda survival yake...atakuumiza kwa chochote,ndio unatakiwa kujiuliza is it worth it?

Akina Salah na GSM honchos ni kama wana akili average sana ya ku-run hiyo kampuni,ndio maana wanatumia misaada ya wanasiasa na kadhalika ku-survive....

Hivi huwezi fanya biashara kwa akili yako ya kuzaliwa bila kutegemea misaada?Serikali aliyokua anaitegemea,ishatoka madarakani,sasa kaingia kichaa,wakijitusu kidogo tu,anaweza wanyea wote wakajuta kua TZ..wamuulize Mo na Manji.and the nigga is still thirsty,atawameza.Anatafuta tu kisingizio,ndio itokee sijui Tx Evasion lazima atazaa nao.
 
hehehehe why so worry and telling paying VAT.. what about direct which you give to your friends without invoice.
If you are created by company inside please donot write, i would not like to post invoices and packing list and other stuff. please stay away otherwise everything will be in forum.
If these are true then this country is rotten
 
hi man - such a SHAME! I was working with you and and you sack me to save yourself. You owe lots of money to your fellow colleagues and company want you to pay them. you cheated all employees, you have taken commissions illegally. don't deny or will tell your victims and all people to post public how much dollars you owe,

You are a fraud with huge loans in debts and loans in Dubai, You have cheated your former swiss company of watches. have cheated friends in dubai. starting restaurant and ran away from Dubai and Jordan, you cheated, converted to muslim and married and ran away from Jordan. you cheated her and involve in women and wine and full of vices. you paid bribe when you were arrested. I know you how big you cheat. Your are frustrated and you are still. Abu dhabi bank has INTERPOL notice seeking you Now you have face to spoil name of so many people and customers.and company give you job.

All other people and good. friends of this man, he has cheated and pocket money too much, ran away with thousands of dollars. Just go to dubai UAE you will be arrested, forget about Tanzania. You sendimg wife to dubai to earn and you live on her money, you suck. why posting ticket of African airline. Just fly emirates or any arab airline, and show you are a man, Bet you will be caught and jailed. why blame others and name in your posts. see your face. you made complaints to save yourself. don't be shameless to deny. know you have no shame as you are a liar. You are not a man. you must be greateful to GSM.to leave you go.

Wewe anzisha uzi wako, huu ni wa malalamiko ya jamaa kwa GSM. na wewe anzisha wa malalamiko yako kwake.
 
Raj

Better you call Salah and you guys settle this out of public this way..

If you display everything on a broad day light this,Magufuli will rape all GSM establishment big time....

And this motherfucken Salah should call you up and you people clear things up...They are bound to loose more than you..

Salah make the call right quick!
Let him reveal everything behind the scene ,
 
Wana nguvu sana....ni sawa ila mbona nawaona kama ni very very stupid people?

Yanini unagombana na mfanyakazi mmoja eti kisa vimafao vyake?Hii kwa mfanyabiashara mwenye akili ni stupidity ya hali ya juu....

Mimi hua sijaji mtu kwa maguvu na mikelele na who he knows,naangalia ana akili na ujanja kiasi gani.....Huwezi tegemea kugombana na kila mfanyakazi wako anaeacha kazi kisa mafao,ni upumbavu sana...tena mkubwa tuu....

Huwezi mmbana mwanadamu kwenye ukuta halafu akakaa anakuangalia tu,lazima hero gene yake i-take over ili kulinda survival yake...atakuumiza kwa chochote,ndio unatakiwa kujiuliza is it worth it?

Akina Salah na GSM honchos ni kama wana akili average sana ya ku-run hiyo kampuni,ndio maana wanatumia misaada ya wanasiasa na kadhalika ku-survive....

Hivi huwezi fanya biashara kwa akili yako ya kuzaliwa bila kutegemea misaada?Serikali aliyokua anaitegemea,ishatoka madarakani,sasa kaingia kichaa,wakijitusu kidogo tu,anaweza wanyea wote wakajuta kua TZ..wamuulize Mo na Manji.and the nigga is still thirsty,atawameza.Anatafuta tu kisingizio,ndio itokee sijui Tx Evasion lazima atazaa nao.
Wanajivunia Bashite mkuu,_time will tell
...and this might be the starting point
 
Kabisa,hii ni dharau kwa Watanzania.
There is nothing disgrace for anyone. When any new brands come in market, he send his people to ensure all set well. I have hired so many talent Tanzanian, you can go to DANUBE Mlimani and meet supervisor staff, they are ready to be sent like work force in international market.
 
If these are true then this country is rotten
Kuna industries ambazo zipo kwa muda mrefu ni aibu labour na uhamiaji kuruhusu wageni kuja kuchukua nafasi zetu.

Basi wakitoa kibali walau wawe na rekodi isizidi miaka 2 kukaa Tanzania kwa nafasi ambazo unapaswa kumuandaa Mtanzania kushika hatamu.

Uhamiaji tumieni hii kama sehemu ya chanfamoto zilizo mbele yenu.
 
Wanajivunia Bashite mkuu,_time will tell
...and this might be the starting point
Nasikia sasa hivi washakosana na Bashite...

Shida ya Bashite alikua na tumbo la kutaka hela kila siku,wakaona atawafilisi....

Ndio maana sasa hivi wanajiweka mbali na Bashite kidogo...Haiwezekani bajeti ya kuendeleza Dar na mambo yako binafsi unaenda kuchukua pesa GSM kila siku ya Mungu,jamaa wakaona wanafilisika fastaaaa.....

Sasa Bashite akipewa some important papers na evidences kadhaa anaweza waharibia GSM maisha kabisa mkuu.....

Let wait and see!
 
There is nothing disgrace for anyone. When any new brands come in market, he send his people to ensure all set well. I have hired so many talent Tanzanian, you can go to DANUBE Mlimani and meet supervisor staff, they are ready to be sent like work force in international market.

Now here you are being very positive. good.
 
Contract was not terminated, neither ever told me or gave me notice of termination, in the day, i was working normally & in the night it happened.
Well there is one another person who ran away came back to work after 4 months, Inam Saudagar, also might they afraid, since i hold lots of sensitive information, might i can tell any officials.

Since i was drop without money, phone at mid night and due to safety i decided to come out and board the flight, as mid night no money no phone to call and get help.
They have booked my ticket without telling me.
I think you know kutekwa kwa Mo right??

Ha ha ha...I just think why wafanye hivyo...he he he heeeeee.

If the have done to you this then tell the info you have...waswahili tunasema wao wamemwaga mboga wewe mwaga ugali.
 
Kuna industries ambazo zipo kwa muda mrefu ni aibu labour na uhamiaji kuruhusu wageni kuja kuchukua nafasi zetu.

Basi wakitoa kibali walau wawe na rekodi isizidi miaka 2 kukaa Tanzania kwa nafasi ambazo unapaswa kumuandaa Mtanzania kushika hatamu.

Uhamiaji tumieni hii kama sehemu ya chanfamoto zilizo mbele yenu.

Sisi hatuna adequate skills za kusimamia retail business operations. na hatujui kuibia makampuni, wote tunaiba kama tunaibia serikali, serikali haiwezi kutetereka kwa kuiibia, utajitia madhambi bure, lakini ukiibia kampuni binafsi, you kill it all together.
 
Now here you are being very positive. good.
I have never issue in Tanzania, what i am only looking that company management is responsible for all mess. Witch are some people who play politics for their benefit. I am still saying to clear and settle all end of services in respected way. thats, it it was not my first company to work, but professionalism and ethics must be in place.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom