Need to launch complaint against GSM GROUP

Need to launch complaint against GSM GROUP

Kuna industries ambazo zipo kwa muda mrefu ni aibu labour na uhamiaji kuruhusu wageni kuja kuchukua nafasi zetu.

Basi wakitoa kibali walau wawe na rekodi isizidi miaka 2 kukaa Tanzania kwa nafasi ambazo unapaswa kumuandaa Mtanzania kushika hatamu.

Uhamiaji tumieni hii kama sehemu ya chanfamoto zilizo mbele yenu.

Mkuu huwezi zuia watu namna hiyo...

Unaruhusiwa ku-hire any talent from any country hapa nchini,ilmradi ufate sheria...Serikali haiwezi ban external workers mzee,huwezi...kama ni hivyo TZ nayo itakua inafanyiwa vibaya sana abroad....

Kuna kazi ambazo ni reserved specifically kwa ajili ya Tanzanians,ila kupiga marufuku kabisa external wasije,sidhani kama ni sawa aisee!

Na kumbuka private sector huwezi ipangia sana mambo mzee..thats one thing!
 
There is nothing disgrace for anyone. When any new brands come in market, he send his people to ensure all set well. I have hired so many talent Tanzanian, you can go to DANUBE Mlimani and meet supervisor staff, they are ready to be sent like work force in international market.
Shut up fcukin indian.
 
I have never issue in Tanzania, what i am only looking that company management is responsible for all mess. Witch are some people who play politics for their benefit. I am still saying to clear and settle all end of services in respected way. thats, it it was not my first company to work, but professionalism and ethics must be in place.

But what you should know is that, those guys, have a habit of suing people posting in this forum.
 
But what you should know is that, those guys, have a habit of suing people posting in this forum.
This is only one platform, others are also activated in multiple dimension such as labour, criminal, news paper.
 
You can't persue legal action as you are far away .Find an advocate who can stand for you.
 
siyo dhambi yeye kutokufaham kiingereza. its just a language like any other language. lets not judge him by his language.lets consider what he has posted here. his color, nationality, language skills shouldn't be the main topic. kwa nini tunakuwa makaburu? kesho na keshokutwa atakuja hapa mnyakatu mkijua kabila lake ni la kitanzania la kinyakatu naye mtamsema kuwa hajui hata kiswahili then mka mu ignore.
Bora hata wachangiaji kushinda huyu muhindi aliyeletwa.
 
ukisoma huu uzi utawaona watu waliotumwa na GSM waje kuuharibu au kuhamisha magoli.
People might be told to finish or cancel my contract in peace way, but some goons like Lauma, Moahmmed Salah thought it is the power they got to do unlawful activities.
 
Contract was not terminated, neither ever told me or gave me notice of termination, in the day, i was working normally & in the night it happened.
Well there is one another person who ran away came back to work after 4 months, Inam Saudagar, also might they afraid, since i hold lots of sensitive information, might i can tell any officials.

Since i was drop without money, phone at mid night and due to safety i decided to come out and board the flight, as mid night no money no phone to call and get help.
They have booked my ticket without telling me.
Who is Inam Saudagar ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom