Need for speed world..!!!

Need for speed world..!!!

Young master....mkuu hizi game mimi nimecheza mpaka majina.....mimi ninapopata game huwa napenda sana kufuatilia story ili nione mwisho wake....ila katika game ambayo nimecheza caborn ina story nzuri sana....kama umecheza caborn bila shaka utakuwa unamjua vizuri mtu mmoja anaitwa DARIUS na kitu chake cha AUDI REMAN QUATRO dah mkubwa ni nouma jamaa anapiga madrif mbaya....huo mziki wa AUDI REMAN QUATRO ni nouma ndinga inatembea mbaya
 

Attachments

  • 1379495556585.jpg
    1379495556585.jpg
    39.9 KB · Views: 70
Mkuu joskill....mimi sijui game gani ambayo sijacheza.....to me napenda race game na game za kivita tu ndio napenda yaani nimecheza game nyingi sana....tena sio kubip ni mwanzo mpaka majina ya mwisho ndio naacha naingia game nyingine....umeshawahi kucheza FUTURE SOLDER?
 

Attachments

  • 1379496074389.jpg
    1379496074389.jpg
    42.4 KB · Views: 56
Nimecheza NFS za kutosha ila Most Wanted 2005 ni balaa yaani, nilicheza nilipofika final race nika disable AutoSave ili niwe narudia Final chase, hua na shika final Chase najipima kama bado naweza miliki ile BMW

pole sana mkuu still ujapata radha kamili but kuna njia moja mi huwa naitumia always linapojisave huwa linajisvu kwenye folder amblo linakaa kwenye my document kwa jina hili NFS Most Wanted so ukifungua ndani ndo unakuta kafile flani hivi ambako kana career name unayotumia sasa hako huwa nakaifadhi na kwenye flash angu ambapo hunezesha kuplay pale nlipoishia na kujisave tana katika pc yeyote yenye NFS Most Wanted
 
@ mtt wa kk, cjaicheza hio, ni nzuri?? Hata me huwa napenda magem ya kivita
 
Weweee, dont call yourself a master, tupo tmetulia hapa n hatareee
 
Wakuu natafta game ya pikipiki wanaita MOTORACER YA 1997 Kama una setup yake tadadhal
 
Young master....mkuu hizi game mimi nimecheza mpaka majina.....mimi ninapopata game huwa napenda sana kufuatilia story ili nione mwisho wake....ila katika game ambayo nimecheza caborn ina story nzuri sana....kama umecheza caborn bila shaka utakuwa unamjua vizuri mtu mmoja anaitwa DARIUS na kitu chake cha AUDI REMAN QUATRO dah mkubwa ni nouma jamaa anapiga madrif mbaya....huo mziki wa AUDI REMAN QUATRO ni nouma ndinga inatembea mbaya

Huyu jamaa nampata vizuri sana...ni choo cha kike...nqnakupita huku anacheka. Hiyo gari yake katika ulimwengu wetu inaitwa Audi R8.
 
Huyo jamaaa mimi namtafutiaga Mistubishi revolution x ndio kiboko yake......mwingine ambae namkubali ni yule angie 21 na mgali wake wa American muscle anatisha sana ......haaaa haaaa haaaa umenikumbusha mbali sna
 
ninaweza pata setup ya nfs, especially the run, hp, carbon ?
msaada tafadhali
 
Nimecheza NFS za kutosha ila Most Wanted 2005 ni balaa yaani, nilicheza nilipofika final race nika disable AutoSave ili niwe narudia Final chase, hua na shika final Chase najipima kama bado naweza miliki ile BMW

Back in time, sijaona kama Most Wanted, toping the Blacklist. Yaani zingine nacheza tu kuona ni kipi kipya. Ila hazijanihamasisha kama NFSMW. Usicheze na Sergeant Cross.
 
Salaam wakuu,
Mambo niaje? Aisee nilikua sijawahi kujaribu hii game ya NFS world ila leo nimeijaribu naona ni tamu sana. Ila mbona ukijaribu kuchat na mtu hareply? Anyways add me : DONCIZAR and let's race.
mkuu nishakuadd tayari kama upo online nicheki nipo nw and lets race
 
Jaman mm mbona hizi gemu hazikubali kwenye pc yangu yan nazitaman balaa.. Naombeni msaada jaman mwenye ufahamu
 
Back
Top Bottom