NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2025

NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2025

Nimeyapenda sana matokeo yao.
 

Attachments

  • Screenshot_20250707_151509_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20250707_151509_Samsung Internet.jpg
    654.7 KB · Views: 49
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kupitia Katibu Mtendaji wake, Dkt. Said Mohammed, limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Sita leo, Julai 07, 2025, visiwani Zanzibar, yakionesha ongezeko la ufaulu ikilinganishwa na mwaka uliopita.

Kwa mujibu wa Dkt. Said, watahiniwa wa shule waliofaulu ni 125,779, sawa na asilimia 99.95% ya wote waliopata matokeo. Idadi hii ni ongezeko la asilimia 0.03% kutoka mwaka 2024, ambapo ufaulu ulikuwa 99.92%.
 
Hakuna mwaka CCM walisema wanafunzi wamefeli Kuanzia darasa la Saba,darasa la nne,kidato cha pili, kidato cha nne
 
Kwa Magufuri mbona ufaulu ulishuka then now days kwa Samia umepanda?
 
Zamani uzi kama huu utakuta unatembea kwa kasi ya 5G lakini nowadays mambo ni tofauti sana
 
SASA HIVI KUTASEMWA, MAMA MPAKA UFAULU WA MATOKEO YA FORM SIX KAPELEKA KWAO ZANZIBAR, UFAULU UMEPANDA
 
Hongera zao madogo kwa kufanya vema ktk mitihani yao ya 4m 6.
Vyuo vinawasubiri.
 
Hakuna mwaka CCM walisema wanafunzi wamefeli Kuanzia darasa la Saba,darasa la nne,kidato cha pili, kidato cha nne
Wafeli Ili iweje?..inasaidia nini watoto kufeli baada ya kukaa muda mrefu shuleni wakielimishwa!?
 
Back
Top Bottom