Mkuu una ushahidi kwamba wizi wa mitihani uko kila wilaya?Labda ma CD woooote Wa resign!!!
Wizi upo kila wilaya sema hao wengine wametolewa kafara.
Initiator wakuu ni hao hao ma "CD" coz nani anataka wilaya yake iwe ya mwisho.
Wiziii huu hata watoto wa darasa la pili C wanaujua kua upo miaka nenda miaka rudi
Unaelewa madhara ya walimu kujihusisha na wizi wa mitihani?Issue ya kuoneshana mitihani shuleni usiichukulie kisiasa.
Mwisho utasema mwanafunzi akitiwa mimba mwenyekiti wa ulinzi na usalama awajibike!
Nadhani umeelewa kitu.
Mkuu wa Wilaya anahusikaje hapa, vipo nyombo vya ulinzi na usalama vinavyohusika na kulinda mitihani. Hawezi wajibika kwa makosa ya vyombo hivyo kushindwa kutimiza wajibu wao.Tufike mahali viongozi wetu waache siasa na waanze kuwajibika. Wizi wa mitihani ni uhujumu wa uchumi na nilitegemea muda huu DC angekuwa pembeni kupisha uchunguzi lakini yeye ndio anawatumbua walimu wakuu!!!......anyway tusubiri tuuone mwisho! Source ITV habari.
Wewe unadhani kwanini Makonda anajenga ofisi za walimu?...... Kwanini anawasafirisha walimu bure kwenye daladala?Mkuu wa Wilaya anahusikaje hapa, vipo nyombo vya ulinzi na usalama vinavyohusika na kulinda mitihani. Hawezi wajibika kwa makosa ya vyombo hivyo kushindwa kutimiza wajibu wao.
Mkuu una ushahidi kwamba wizi wa mitihani uko kila wilaya?
Hekaya ZA Abunuasi
Wameleta alfu lela ulela,Kalume kenge kakataa kwenda shule,Esopo!!!!
Fyekelea mbali!
Tumeambiwa ni mtu wa usalama. Sasa sijajua sijui kama na yeye alafanikiwa kuingia kwenye lile group la whatsapp lilokua linatumiana majibu au la!Wakuu kwema?
Mnaweza kutujuza alieshitukia mchezo mchafu uliofanywa na wasomi wetu kwenye mitihani ya darasa la 7?
Asante.
Kwa wasiojuwa kazi za maofisa wa usalama wa Taifa basi hizi ndio kazi zao, unaweza kuwaona kama mazoba tu lakini report zao ndio huwa zinazaa mambo haya.Wakuu kwema?
Mnaweza kutujuza alieshitukia mchezo mchafu uliofanywa na wasomi wetu kwenye mitihani ya darasa la 7?
Asante.
Afisa wa hayo mambo nitamgunduaje huko maoficini?Kwa wasiojuwa kazi za maofisa wa usalama wa Taifa basi hizi ndio kazi zao, unaweza kuwaona kama mazoba tu lakini report zao ndio huwa zinazaa mambo haya.
Na mliopo kwenye taasisi za serikali ogopa sana ukiona you have new fella in ur office kaa naye makini wametawanywa wa kumwaga hasa BOT na TRA.