Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,874
- 8,895
Ninawajulisha tuuuu,mpita njia wenu.
CC:-
Watoto wengi wapo nje ya mazingira ya shule, huku wenzao waliotoa Tsh. 500 wakiwa darasani.
Nahisi hii sio sahihi, kutumia advantages za Darasa la Saba kisa kukabiliana na mtihani, muda wa masomo wa kawaida ni haki ya wanafunzi wote.
Remedios ndio iwe optional.
CC:-
- Afisa Elim Kata (Limemshinda au kajiongeza)
- Afisa Elim Wilaya (Hasomeki,vikaoni haendagi)
- Afisa Elim Mkoa (anajua mambo saafi kwa wa chini yake)
- Wizara ya Elimu
Watoto wengi wapo nje ya mazingira ya shule, huku wenzao waliotoa Tsh. 500 wakiwa darasani.
Nahisi hii sio sahihi, kutumia advantages za Darasa la Saba kisa kukabiliana na mtihani, muda wa masomo wa kawaida ni haki ya wanafunzi wote.
Remedios ndio iwe optional.