NECTA yafyekelea mbali matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa baadhi ya shule za Kondoa, Kinondoni, Ubungo na Nyamagana

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Shule hizo zilizofutiwa matokeo zipo katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma, Kinondoni na Ubungo katika jiji la Dar pamoja na Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza

> Serikali pia imewasimamisha kazi Maafisa Elimu na Taaluma wa Wilaya ya Chemba na Kondoa, Waratibu Elimu na Walimu Wakuu wa shule za msingi za wilaya hizo kwa kuvujisha mitihani

> Katibu Mtendaji NECTA, Charles Msonde amesema leo kuwa Uongozi wa Idara ya Elimu ya Chemba kwa kushirikiana na Waratibu na Walimu Wakuu ulipanga kwa makusudi kufanya udanganyifu wa mtihani

> Ameeleza kuwa Waliunda makundi katika mtandao wa WhastApp, mtihani ulipofika waliufungua na kusambaza kwenye makundi hayo

> Amewataja waliohusika kuwa ni Kaimu Afisa Elimu Msingi, Modest Tarimo; Afisa Taaluma, Eliakida; Kiongozi wa Kundi la WhatsApp alikuwa Mratibu Elimu wa Kata Farukwa, Deo Philip pamija na Wakuu wa shule na Waratibu
 
Ok mwanzo mzuri. Nakumbuka mwska fulani pale Rutihinda kigogo/Jangwani walifaulu watoto wote isipokuwa wawili au watatu baraza likahisi kuna udanganyifu. Likawafutia kimyakimya shule ile tuu then wakaitisha tena hahahaaa wakafaulu wote ila kesi ya hawa ni tofauti nadhani
 
b
Baraza la Mtihani (NECTA) imefuta matokeo ya mtihani wa darasa la 7, uliofanywa Septemba 5 na 6, 2018 kwa baadhi ya shule za Kondoa, Kinondoni, Ubungo na Nyamagana.

> Serikali imewasimamisha kazi maafisa elimu na taaluma wa wilaya ya Chemba na Kondoa, waratibuu elimu na walimu wakuu wa shule za msingi za wilaya hizo kwa kuvuja mitihani.
 
Shule hizo zilizofutiwa matokeo zipo katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma, Kinondoni na Ubungo katika jiji la Dar pamoja na Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza

> Serikali pia imewasimamisha kazi Maafisa Elimu na Taaluma wa Wilaya ya Chemba na Kondoa, Waratibu Elimu na Walimu Wakuu wa shule za msingi za wilaya hizo kwa kuvujisha mitihani

> Katibu Mtendaji NECTA, Charles Msonde amesema leo kuwa Uongozi wa Idara ya Elimu ya Chemba kwa kushirikiana na Waratibu na Walimu Wakuu ulipanga kwa makusudi kufanya udanganyifu wa mtihani

> Ameeleza kuwa Waliunda makundi katika mtandao wa WhastApp, mtihani ulipofika waliufungua na kusambaza kwenye makundi hayo

> Amewataja waliohusika kuwa ni Kaimu Afisa Elimu Msingi, Modest Tarimo; Afisa Taaluma, Eliakida; Kiongozi wa Kundi la WhatsApp alikuwa Mratibu Elimu wa Kata Farukwa, Deo Philip pamija na Wakuu wa shule na Waratibu
Sukuma ndani Afisa Elimu Msingi

Sukuma ndani Afusa Elimu Taaluma Msingi,

Sukuma ndaniWaratibu Elimu Kata,

Sukuma ndani Walimu wa Kuu shule za Msingi,

Na wale maadmin wa magroup ya Wosap wanaosambaza pepa sukuma ndani wote!
 
Shule hizo zilizofutiwa matokeo zipo katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma, Kinondoni na Ubungo katika jiji la Dar pamoja na Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza

> Serikali pia imewasimamisha kazi Maafisa Elimu na Taaluma wa Wilaya ya Chemba na Kondoa, Waratibu Elimu na Walimu Wakuu wa shule za msingi za wilaya hizo kwa kuvujisha mitihani

> Katibu Mtendaji NECTA, Charles Msonde amesema leo kuwa Uongozi wa Idara ya Elimu ya Chemba kwa kushirikiana na Waratibu na Walimu Wakuu ulipanga kwa makusudi kufanya udanganyifu wa mtihani

> Ameeleza kuwa Waliunda makundi katika mtandao wa WhastApp, mtihani ulipofika waliufungua na kusambaza kwenye makundi hayo

> Amewataja waliohusika kuwa ni Kaimu Afisa Elimu Msingi, Modest Tarimo; Afisa Taaluma, Eliakida; Kiongozi wa Kundi la WhatsApp alikuwa Mratibu Elimu wa Kata Farukwa, Deo Philip pamija na Wakuu wa shule na Waratibu
Fyekelea mbali mratibu wa elimu kondoa
Fyekelea mbali mratibu wa Elimu ubungo
Fyekelea mbali mratibi wa Elimu Nyamagana
Fyekelea mbali shule zote husika...
Fyekelea mbali wakuu washule zote za serikali....
 
Haya ndio matokeo ya "kushindana kufaulisha" miongoni mwa wadau waliotajwa kwenye taarifa hii!

Badala ya kufundisha kwa lengo la "kuelimisha" wao na serikali kwa ujumla wanakazania kufundisha "kufaulu" ili kupata misifa!
Kwa Mza sidhani kama ile Alliance itakosekana hapo!
 
Back
Top Bottom