rody180
Member
- Nov 23, 2016
- 9
- 11
Naomba ya nronga secondary plzzzNITUMIE PLS YA UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOL
Naomba ya nronga secondary plzzzNITUMIE PLS YA UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOL
Naomba ya nronga secondary plzzzKwa anyehitaji kupata kwa haraka zaidi ingia
http://tanzania.go.tz/result_csee_2016/CSEE_2016/index.htm
Hakuna cha haraka wala nini maana wooote source yenu ni NECTAKwa anyehitaji kupata kwa haraka zaidi ingia
http://tanzania.go.tz/result_csee_2016/CSEE_2016/index.htm
Mpaka ninapoandika hapa web yao haifunguki.Kweli hili ni bomu, wizara haina mtu WA IT aliye competent
nimekuwekea pdf hapoNaomba ya nronga secondary plzzz
Tatizo mmekariri ukitafuta matokeo kwenye www.necta.go.tz ni wazi itakua taratibu ni kawaida website to go down kama kuna viewers zaidi ya 2,000,000.
kwakuwa umetaka matokeo ya sakila sec na sio matokeo ya mwanafunzi husika basi huna budi kupewa matokeo yako kama ifuatavyo....Fanya fanya mambo basi mkuu PM bado sijaipata.
Sakila Secondary.
Hayo ni mawazo yako finyu hapa ni ishu ya traffic lakini mtu anatokea anapaza sauti bila uelewa wowote. Pole yakoKweli hili ni bomu, wizara haina mtu WA IT aliye competent
We vp si enzi zenuENZI ZETU TULISUBIRI MATOKEO WIKI NZIMA ILA HATUKULALAMIKA
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIAMkuu ubarikiwe sana.
Mimi naomba matokeo ya shule mbili. S.1966 NA S.869
nimekutumia PM tayari kijana wa kambwanga sec.NAOMBA NA INDEX NO.
S.1022/0162
Mkuu na mm nitumie pdf ya hii shule, PEACE HOUSE SEC RG. S3838/0062nimekuwekea pdf hapo
nitumie ya mwayunge secondary schoolMkuu ni tumaini langu kwamba PM yako tayari isha jaa mzigo wa matokeo.
Asante mkuu.NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2016 EXAMINATION RESULTS
S1966 MIBURANI DAY SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0; DIV-II = 5; DIV-III = 10; DIV-IV = 115; DIV-0 = 171
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2016 EXAMINATION RESULTS
S0869 MBONI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0; DIV-II = 3; DIV-III = 9; DIV-IV = 65; DIV-0 = 19
Ndugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.[/QU
Mkuu na mm nitumie pdf ya hii shule, PEACE HOUSE SEC RG. S3838/0062
Nitumie ya MKUU SECONDARY. YOOOTENdugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.