Naunga mkono hoja, jf ya ss Ni tofauti saana Na ya miaka mitano hadi sita iliyopita (though I was not a member), kwa kweli Kuna members wanauwezo Mdogo Sana wa kuanalyse mambo. Nafikiri members wanatakiwa fanyiwa screening before registration.Ndio maana kuna mdau alitoa wazo kwamna kabla ya mtu kujiunga na jf uilizwe maswali ya kupima ukomavu wa akili yake sasa ona mtoto kama huyu anachojua ni kukashifi jf ianze kuchunguza mienendo ya wanachama wake ikibidi baadhi waondolewe, hii siyo great thinker ya mwanzo maana vitoto vya miaka 12 vinanunua smartphone na vinajiunga na jf na mwisho wa siku jf itakuwa kama fb.
Kwa kulinda hadhi na heshima ya mtahiniwa husika ninakutumia sana PMKhairaat Islamic S3849/006
kwa heshima NA utu wa mtahiniwa husika naomba nikutumie matokeo husika PM.Mkuu naomba nisaidie matoke haya
Tanga technical secondary school
S.0156/0078
Nitashukuru chiefkwa heshima NA utu wa mtahiniwa husika naomba nikutumie matokeo husika PM.
Tayari nshakutumia mzigo PM kwako tu mkuu.Nitashukuru chief
Nadhani ushapata matokeo uliyoyataka PMMkuu naomba nitumie matokeo ya PIECE HOUSE SEC ya Arusha
Umesema enzi zenu mkuu, hakukuwa na simu wala internet.
Mkuu nimehangaikaMkuu ni tumaini langu kwamba PM yako tayari isha jaa mzigo wa matokeo.
Nisaidie kumchekia mdogo wangu mkuu 0813/0038Ndugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Thanks mkuu*centernumber*indexnumber*k4*2016
kwenda 15311lakini inachelewa.tuma voda/tigo
Nitumie yashule ya Mudio Islamic. Ninahitaji overall!
angalia PM yako nshakutumia ...kwani kama ni PC inaonesha ni wa Ubungo Modern sec centreMkuu nimehangaika
Nichekie M 2336-0003 QT
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIANitumie yashule ya Mudio Islamic. Ninahitaji overall!
Ni mwanafunzi wa Mahida Sec ...?? kama ndiyo , basi PM yako ina jaa sasa matokeo yake.Nisaidie kumchekia mdogo wangu mkuu 0813/0038
Sijaona PMangalia PM yako nshakutumia ...kwani kama ni PC inaonesha ni wa Ubungo Modern sec centre