MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
pamoja sana mkuu.Good
pamoja sana mkuu.Good
Hakika mkuu enzi yao haipo tena hata majiko ya gesi hayakuwepo.Point ni kusema nertwork iko bize kutokana na jam ya watu zaid ya milion huko kutaka kuingia katika site moja kwa pamoja,
Ila suala la kusema sisi tulisubiri sijui wiki, hiyo ilikua wakati wenu ambapo masuala ya Kimtandao pengine hayakuwepo sana!!!
Aibu tupuKweli hili ni bomu, wizara haina mtu WA IT aliye competent
ahaaaa...mkuu hii ndio Tanzania yetu. one step at a time.Kweli hili ni bomu, wizara haina mtu WA IT aliye competent
Kulikuwa hamna pressure ni wote mwasubiri, sio sasa jirani anakwambia tayari, we badoENZI ZETU TULISUBIRI MATOKEO WIKI NZIMA ILA HATUKULALAMIKA
Nakumbuka yalikua yanabandikwa majina ya walopata I,II,III. na hayo majina yameandikwa tu kwa peni, kama huoni jina lako mpaka mshahara utoke mwalimu mkuu akienda town atakuja ma matokeo.ENZI ZETU TULISUBIRI MATOKEO WIKI NZIMA ILA HATUKULALAMIKA
SafiKulikuwa hamna pressure ni wote mwasubiri, sio sasa jirani anakwambia tayari, we bado
mkuu kama yako katika mfumo wa document naomba unitumie pm au unaweza kuattach hapa kwenye huu uzi tupakueNdugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Ndugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Mkuu tafadhari naomba ya mamboya secondary, ipo kilosa hii shule..natanguliza shukraniNdugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Taja mwanafunzi yupi...maana ya ujumla ni kama ifuatavyo>:NITUMIE PLS YA UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOL
Mtandao upo vizuri mimi nimeangalia matokeo mpaka nimechokaView attachment 465697
Mtandao wenu hauko vizuri, wakati mwingine unafunguka na wakati haufunguki, jamani saidieni watu siyo mambo ya kutuma SMS to 15311 kwa shs 200 au mmeanzisha biashara jamani? saidieni watu.
Mimi natumia halotel ndiyo maana napata matokeo lakini wengi wanalalamika, je wale watoto wa kijijini ambao hata mb ni shida labda ameomba smartphone kwa jirani na akaweka mb za shs 500 si zitaisha bila kufanikiwa lengo lake? wasaidieni watoto wa watu.
Ndiyo umerudi muda huu kuna kipindi ulikata kabisa.Mtandao upo vizuri mimi nimeangalia matokeo mpaka nimechoka
Ndio maana kuna mdau alitoa wazo kwamna kabla ya mtu kujiunga na jf uilizwe maswali ya kupima ukomavu wa akili yake sasa ona mtoto kama huyu anachojua ni kukashifi jf ianze kuchunguza mienendo ya wanachama wake ikibidi baadhi waondolewe, hii siyo great thinker ya mwanzo maana vitoto vya miaka 12 vinanunua smartphone na vinajiunga na jf na mwisho wa siku jf itakuwa kama fb.

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIAMkuu tafadhari naomba ya mamboya secondary, ipo kilosa hii shule..natanguliza shukrani