Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,148
- 56,612
Wafia vyama. Esther Matiko mke wa Mwalimu yule mgombea mwenza. Eti kaenda bungeni bila mmewe kujua. Mbowe wote hao wanajua sana na wapo Ok.Inasikitisha sana watu wasomi kabisa lakini ajabu wanabuluzwa hovyo na wana siasa kiasi hiki!!
Sema wanaplay games ili kuwapoza wafia vyama ambao hajawahi hata faidika na Chadema. Mbowe anaingiza ruzuku tu. Mimi ndo maana nasema wote wawe Chadema,CCM .....etc. Tanzania ndo chama langu. Kura nitampigia mtu na siyo sababu ya chama chake.