mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Mitandao ipi imefungiwaAtatangazia wapi wakati wamefunga mitandao
Mitandao ipi imefungiwaAtatangazia wapi wakati wamefunga mitandao
Zilianza 2% zikaja 20% na sasa 30%. Tuendelee tu.Wakala wa Makabaila na Mabeberu akifikisha walau 30% Basi itakuwa msiba
Amsterdam kaduwazwa!sijui huko twita anazungumza na naniSafi. Yatakuja huku yakionesha Amsterdam kapigwa vibaya mno!
Hiyo comment yako umeandika kupitia bakuli ?Atatangazia wapi wakati wamefunga mitandao
Ndo uwendawazimu wenu huu..Hiyo comment yako umeandika kupitia bakuli ?
Ahsante Mungu?Ahsante Mungu kwa kumdidimiza kibaraka wa mashoga mpaka kushindwa kuweka mawakala zaidi ya vituo 47 mpaka sasa kwa jiji la Dar tu.
Mungu mbariki JPM.
Unaelewa theory ya massive small kweli?Hatoboi sababu ya kura yako moja? Umeweka kijiko cha chumvi ziwani na huyo unayemsema atashinda kwa zaidi ya 85%
Ila hongera kwa kutimiza wajibu wako
AMEN ILA WATAIBA KAMA KAWAIDA YAO NA NEC HAWAWEZI MTANGAZA MPINZANI HIYO NI NEVER , KWA TUME HII AMBAYO NAIJUA SAHAUNI MPINZANI KUBADILISHWA ITACHUKUA MIAKA MINGIBabu yenu hatoboi mwaka huu mwambie hatutanii
Atatangazia wapi wakati wamefunga mitandao
Nipo tweeter namfuatilia hata wakati huuAtatangazia wapi wakati wamefunga mitandao
Mkuu mbona mlisema ushindi wa ccm sio chini ya 98% sasa mbona imebadilika?Wakala wa Makabaila na Mabeberu akifikisha walau 30% Basi itakuwa msiba
Juzi tumepokea pesa za mashoga kupitia SWISSAID ili kupunguza umaskini kupitia TASAFWakala wa Makabaila na Mabeberu akifikisha walau 30% Basi itakuwa msiba
Hatoboi kwako. Time will tell Magu mitano tena.Babu yenu hatoboi mwaka huu mwambie hatutanii