mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Niko na clouds tv matokeo ya awali Ilalawacha waisome namba eeh
Niko na clouds tv matokeo ya awali Ilalawacha waisome namba eeh
Sijui kwanini hawakuomba kupewa uwakalaMnawatahiria nyuma ya keyboards sio?
Kutakuwa na kesi nyingi za kupinga mtokeo ya uchaguzi kuliko wakati wowote ule.Wanatafuta namna ya kuiba.
Leo wakati naenda kumtawanya mtetea mashoga kwenye box la kura nikapishana na hawa vijana wa chadema nikawacheki weee!!, nikagundua akuna mpiga kura hata moja alafu utashanga wanalalama wasipopata ata wabunge 5 nchi nzima.Niko na clouds tv matokeo ya awali Ilala
Kwataarifa za mbali huko Arusha Lema kapigwa vibaya kwenye kata nyingiMbeya... Sugu kata nyingi kaanza kupigwa
Nimekutana nao dukani baada ya kupiga kura. Wanaume wanaonekana smart kabisa, wakaniona kidole wakasema dada tayari. Nikawajibu ndio, wakaniambia umempa nani? Nikawajibu huyohuyo mmoja akasema niYeYeeeeeeLeo wakati naenda kumtawanya mtetea mashoga kwenye box la kura nikapishana na hawa vijana wa chadema nikawacheki weee!!, nikagundua akuna mpiga kura hata moja alafu utashanga wanalalama awasipopata wabunge 5 nchi nzima.
Kwa mahakama ipi?Kutakuwa na kesi nyingi za kupinga mtokeo ya uchaguzi kuliko wakati wowote ule.
Mkuu wewe ni msimamizi wa kituo?Vijana mnapiga porojo mitandaoni lakini hamuendi kupiga kura.
Nimetoka kupiga kura na vijana wanaopiga kura kwa mara ya kwanza, ambao ndio washabiki wa mageuzi, hawaonekani kabisa.