Yaani hii kura moja inatembea mitandaoni balaa! Afu wapiga kura wa twita na insta wanafurahia balaa! Yaani mnajitekenya wenyewe!Babu yenu hatoboi mwaka huu mwambie hatutanii
PamojaLissu forever
Akili za wanachama wa Mbowe hovyo kabisa. Mnajua hamna kitu kwenye uchaguzi huu mnaanza kutafuta justifications za kipuuzi.Wanatafuta namna ya kuiba.
Tuma picha ukifanya hivyoOle wao wachakachue kura tulizopiga. Tutawatahiri mmoja mmoja bila ganzi
Lissu kashinda wapi?Lissu mbona kashashinda ila vibaraka hawa watamtangaza mtu wao,Inauma saaana.Ila Mungu yupo ipo siku huu utawala wa kifedhuli utaangushwa.
Hakuna tatizo wakianza kutupa yao waliyopiga kisha tujumuishe na yajayo.Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk Wilson Mahera amesema kuanzia leo usiku Jumatano Oktoba 28, 2020 tume hiyo itaanza kupokea matokeo ya kura za urais kutoka kwenye majimbo.
Dk Mahera ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na Mwananchi Digital kuhusu maandalizi ya kupokea, kujumlisha na kutangaza matokeo ya urais shughuli inayofanyika katika kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).
“Tutaanza kupokea matokeo kuanzia leo na kuendelea kwa hiyo kesho tutakuwa tuko serious kupokea matokeo kutoka maeneo mbalimbali na kuyatangaza ila matokeo ya udiwani yatatangazwa kwenye kata.”
“Matokeo ya Ubunge yatakuwa yanapokelewa na kutangazwa kwenye jimbo halafu wanatutumia sisi hapa(JNICC) tunayajumlisha na kuyatangaza tena kwamba jimbo fulani tayari matokeo yake yameshatangazwa kwa nafasi ya rais,” amesema Mahera.
Dk Mahera amesema tayari ameshajiridhisha na maandalizi yote kufanikisha tukio hilo baada ya kufanya ukaguzi wa vifaa na kumbi zitakazotumika JNICC.
Hii naifananisha na jaribio la kuweka sukari kwenye bahari yaani halina impact yoyote.
Sidhani kama hii ni adhabu maana ukuryani ni kitu cha kawaidaOle wao wachakachue kura tulizopiga. Tutawatahiri mmoja mmoja bila ganzi
Mpuuzi mwenyeweAkili za wanachama wa Mbowe hovyo kabisa. Mnajua hamna kitu kwenye uchaguzi huu mnaanza kutafuta justifications za kipuuzi.
😂🤣😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Hatoboi sababu ya kura yako moja? Umeweka kijiko cha chumvi ziwani na huyo unayemsema atashinda kwa zaidi ya 85%
Ila hongera kwa kutimiza wajibu wako
😂🤣😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Hatoboi sababu ya kura yako moja? Umeweka kijiko cha chumvi ziwani na huyo unayemsema atashinda kwa zaidi ya 85%
Ila hongera kwa kutimiza wajibu wako
Kale kawimbo unako hapo mkuuRaha iliyoje MAGUFULI kutufusha awamu nyingine jemidari mwongoza mwendo
💥🙏Leo kwa tarehe ya wenzetu (tarehe 12 kwa kalenda ya kiislam) ni siku ya kuzaliwa mtume na kesho ni siku ya Maulidi.
Kesho mheshimiwa Majaliwa Kassim amekaribishwa chakula cha mchana pale ukumbi wa Karimjee.
Pia atapata fursa ya kuzungumza machache kutunuku siku hiyo muhimu kwa taifa letu.
Inshaalah!
wacha waisome namba eehKale kawimbo unako hapo mkuu
hatunywi sumu hatujinyongi
Mnawatahiria nyuma ya keyboards sio?Ole wao wachakachue kura tulizopiga. Tutawatahiri mmoja mmoja bila ganzi