Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,280
Wananchi wa Kigamboni wanashukuru sana kwa ujenzi wa Daraja la Nyerere. Ni mkombozi mkubwa. Changamoto ni tozo. Daladala moja inatozwa Sh5,000 ikienda mara kumi kwenda na kurudi ni Sh100,000 kwa siku. Hapo hajaweka mafuta, hajaweka hela ya tajiri-@DocFaustine
“Nakuomba sana Rais twende tukaliangalie jambo hili. tuangalie jinsi gani tunaweza kuleta nafuu kwa wananchi wa Kigamboni na kufanya maisha yawe mepesi. Wananchi wamenituma hilo niweze kulifikisha kwako,” amesema Ndugulile wakati Rais
@SuluhuSamia aliposimama Kibada, kusalimia.
“Nakuomba sana Rais twende tukaliangalie jambo hili. tuangalie jinsi gani tunaweza kuleta nafuu kwa wananchi wa Kigamboni na kufanya maisha yawe mepesi. Wananchi wamenituma hilo niweze kulifikisha kwako,” amesema Ndugulile wakati Rais
@SuluhuSamia aliposimama Kibada, kusalimia.