HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 57,110
- 68,724
Mh Rais akijibu ombi la Wabunge wa Kigamboni kuhusu kuondoa tozo za daraja, amesema kuwa lile daraja lilijengwa kwa mkopo hivyo lazima watu walipe hela kupita, vya bure havitakuwepo, hivyo wananchi wategemee kuanza lipia barabara watumiazo, zitazojengwa na ppp.
Kivuko cha Kigamboni kubinafsishwa ili kuondolea Serikali gharama za uendeshaji
Kivuko cha Kigamboni kubinafsishwa ili kuondolea Serikali gharama za uendeshaji