Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi
Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?
1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi
Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?
1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Nukta | Maswali magumu mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
Rukwa ndiyo unaoongoza kwa kuwa na takriban nusu au asilimia 45 ya watu wake ambao hawawezi kumudu mahitaji ya msingi wakati Dar es Salaam ukiwa na watu wachache wasiokuwa na uwezo huo kwa asilimia nane tu.
nukta.co.tz