Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,749
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.

1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?

 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Sio Kagera tuu,mikoa yote ya Kanda ya Ziwa
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Kilimanjaro kuna maendeleo gani???
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wen
Uzi huu umeandikwa kwa hasira na chuki sijui kwanini??
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Sasa kama nyinyi wenye nchi mnaona hamna maendeleo Sasa sisi wa huku pwani tusemeje wazaramo?

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Wenzetu wanapenda ngono sana
 
Na sifa sasa
Screenshot_20220609-190545.jpg
 
Kiukweli Tz nzima tembea uone mpk mkoa km geita wny dhahabu ya kutosha kuna umasikini wa kutisha tembea singida, dom, simiyu uone hali za watu.
Nmewahi kuishi biharamulo kuna fursa nyng sn hakuna njaa bt watu wa kule hawapendi kufanya kazi ni pombe tu. Vyakula vipo km vyote ila maisha ya watu wa huko ni masikitiko.
 
Tatizo ni kwamba wengi wakitoka huko vijijini na kufanikiwa mjini hawawewezi kurudi kwao kwa hofu ya kupigwa vipapai (kurogwa).

Hii ipo pia kwa wakinga, wameikamata kariakoo lakini ukienda makete panatia huruma, wengi wanaogop kupigwa vipapapai.

kwa waasukuma pia nako ni hivyo hivyo ukienda geita, simiyu na shinyanga.
 
Hivi vita vya ukanda,nyanda hii vs nyanda nyingine au kabila hili dhidi ya lile vinavyoendelea humu ndani sijawahi kuvielewa.

Hiki ni kipindi ambacho tulitakiwa tuwe tumeshaondokana na ukabila na ukanda.

Hili jambo linashangaza lakini! Nchi ni ile ile wote tunataka iendelee ila mtu anataka kwao kuendelee na kwingine asipopapenda paendelee kuwa duni!

Makabila , ukanda na udini ni upumbavu mtupu unaosababisha Africa isitulie hadi leo.

Wanangu hawatakuwa na kabila lolote.Lugha watakazofahamu kwa hapa nyumbani ni Kiswahili na Kiingereza pekee.
 
Mikoa ile maskini sana Tanzania, sababu kubwa ni desturi za watu wa maeneo hayo kuwa wavuvi.

Angalia mkoa kama Tabora, una ardhi nzuri na kubwa. Hali nzuri ya hewa. Lakini watu wake ni maskini sana.

Kama unasafiri kwenda kanda ya Ziwa, ukatulia kidogo maeneo kama ya Nzega, utakuwa na bahati sana kama hutakutana na vijana, akina mama na akina baba, walio wazima kabisa, wana viungo vyote vya kuonekana na afya njema, lakini ni ombaomba.

Uombaomba wao unaelekea kwenye utapeli. Vijana wengine huvalia kanzu na kofia wanazopenda kuvaa ndugu zetu waislam, watakujia na maneno ya hapa na pale, na kumtaja Mnyazi Mungu, lakini mwishowe utasikia, "nisaidie chochote, nipate kula".
 
Back
Top Bottom