pole sana Chamkey....inauma mno kupoteza mzazi na inauma zaidi pale unapokuwa mbali bila kuweza kumuaga kwa mara ya mwisho....Mungu atakutia nguvu...yeye ndie awezae yote....nyie mlimpenda lakini Mungu alimpenda zaidi....mapenzi yake yatimizwe
Pole sana.....RIP Mzee wetu