Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Status
Not open for further replies.
mkuu simpendi jery muro kwa mambo yake ila mkuu jeri muro kwao ni lyamungo, juu ya kijiweni, unapita kanisa la lyamungo kati, unapita kwa mzee kimati, ukuta wa mzee isaac muro ndugu zao ndo umeshikana na kwa akina jery, napajua tangu anakuwa
acha kutudanganya jombaaa huu ni uongo mtakatifu mnoooo
Subiri mambo yawekwe hadharani halafu tutalinganisha na maelezo yako .
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Kwani inakuhusuje?

Yeye si kahororoja acha wenzie wamjibu
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Mnafiki hafai hata kupewa maji ya kunywa kwahiyo tuliza muwasho wako
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Hii naomba usisahau kuipeleka kwa Mange Kimambi Instagram. Atamvua boxer kabisaa
 
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tanzania bana
Haya wekeni tuone
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Mbona umepaniki? Mwambie huyo Jerry atulie au kama wewe ndiye Jerry tulia acha kujipendekeza kwa serikali!
 
mkuu simpendi jery muro kwa mambo yake ila mkuu jeri muro kwao ni lyamungo, juu ya kijiweni, unapita kanisa la lyamungo kati, unapita kwa mzee kimati, ukuta wa mzee isaac muro ndugu zao ndo umeshikana na kwa akina jery, napajua tangu anakuwa
acha kutudanganya jombaaa huu ni uongo mtakatifu mnoooo
Kijiweni kwa mama Dimwita hapo kwa Mose au Ngazini.
Ndiyo anakuwa unamwona mbana ana mambo ya akina ya chooni
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Naona sasa dawa yake inaanza kuingia penyewe!
Haya, lete habari zaidi!
Gwajima kasemaje nae kuhusu kesho?? Na Kimambi nae anasemaje??
Dah, chadema kwisha habari, naona sasa hata Murro anawakimbiza mchakchaka kwa singeli lenu wenyewe!
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Ndio maana hajakumbukwa hata ubalozi wa nyumba kumi
 
Kwahiyo kuwa msukuma imekuwa ni hoja?
Ni hoja! Sana tu ! Usukuma ni hoja kwa sada ktk serikali hii. Yaani ni ulimbukeni plus ushmba kwa kwenda mbele. Mfikshie salaam Kibajaji maana yeye alisikika kabisaa kwa sauti take akiupigia debe usukuma wakati wa kampeni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom