Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Habarini wadau.

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama, amemaliza Diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalimu kipindi hichi cha sikukuu

Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usiku nikienda kwenye mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii

Sasa nasindwa kumwelewa

Nisaidieni
Anakutega kama hivi mkuu
JamiiForums1291443823.jpg
 
Sasa unataka usaidiwe kitu gani?

ACHA TAMAA HUYO NI NDUGU YAKO,HAPA UNATAFUTAUHALALI WA KUMTONGOZA BUMBAVUUUU
 
Back
Top Bottom