Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Wengine binamu tunasema kinyama Cha hamu
 
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
Kwa kweli huyo ndugu yako ana tabia mbaya sn,,

Mkuu hebu nipe namba zake ,,nimpigie.

Sio vizuri kwa kwl.
 
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
Mmeshafunga shule??
 
Acha umalaya. Mwambie nyinyi ndugu akizidi mwambie mama yako. Simpo. Vinginevyo hata kama wewe unamtaka ili wote mfanye uchafu wenu. Hata hivyo, baadhi ya makabila toka mkoa fulani hulala na hata dada zao.
 
Back
Top Bottom