Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Hapa wa kuwalaumu sio hawa watoto, tujilaumu sisi wazazi!!

Inakuaje tunawapa watoto simu ili waingie jf?

Inakuaje tunawalea watoto vibaya kiasi kwamba wanataka kulana mtu na ndugu yake?

Hapa wazazi inabidi tujilaumu na tuache kutoa visingizio kwenye mambo ya msingi!!
Usisahau binamu kinyama cha hamu..!!
 
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
Ni kawaida sana but inategemea unaichukuliaje
Binafsi nipo na mdogo wangu ambaye mama yake alifariki baba akamchukua akiwa drs la 2 now yupo chuo mwaka wa 4 meds
Nasema ananipenda balaa yaani tukikutana hatoki hapo pembeni yangu anajipa attention kubwa sana kwangu.
Anafurahi sana hata kutoka nae anapenda sana and sometimes ananiambia kaka wewe si umeoa sasa kwa nini unamkonyeza huyu dada.

Then tunaliga bia kadhaa lakini yeye hatumii kabisa

So nadhani ni kawaida binafsi hainipi wakati mgumu like kumtamani no no no

Watoto wa kike wanaangaliaga mtu anaye wapata muda nao na jinsi unavyompenda but si mambo ya mapenzi.
 
Kwamba....
Ni mtoto wa shangazi yako, upande wa mamaako..!!??
Anyway......
Kama anakutesa tu basi minaona afadhali akuunguze kabisa na tanuru la jehanam
Mwamba hata mimi kanichanganya sana, mtoto wa shangazi upande wa mama, dogo anaweza kuwa analelewa na Mshua wa kambo
 
Wewe ni fala!Ina maana ndugu yako wa kike hawezi kukupenda na kuwa karibu na wewe kama kaka yake?Unaelewa jinsi wadada hupenda kaka zao?
 
Shida ni ww hapo mawazo yako yameenda mbali sana.
 
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
Unasubiri nini sasa mpe mimba hyo mrefushe ukooo
 
Huenda anakupenda Kama ndugu yake, Ila Kama anazidi sana weka mipaka, usithubutu kushiriki nae mapenzi.
 
Nilitaka nikudharau na kuuacha ulivyo huu uzi but nadhani nitakuwa sikukutendea iliyo haki. Sasa basi nakupa ushauri huu ambao babako ndo alitakiwa akupe;
1. Huyo hakuja kutafuta uume hapo kwenyu. Ma-uume aliyaacha mengi huko alikokuwa ila alikuja kwenu/kwao.
.Muone kama dadako tu ambaye hakukulia hapo nyumbani. Tena dada anaye kupenda, anaye kuthamini kama kakake. Ndo maana anakuuliza Ulikuwa wapi muda wote huu. Alitamani mpige stori za mtu na dadake aliyekuja home, umwoneshe mazingira nk.
3. Toa wazo bovu la kishetwani moyoni mwako ati kila mwanamke mbele yako afaa kuangaliwa au kuchunguliwa.Wengine ni sumu
4. Ukiparamia kila jike utajimaliza mwenyewe siku si nyingi
 
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
eti shangazi upande wa mama. kiswahili kigumu au wewe ndo mgumu
shangazi ni upande wa baba
 
yaani wewe ni wa kupumiliwa kisogoni......vizazi hovyoo kabisa
 
Mimi mbona naona wewe ndio tatizo......

Katika Maisha Tafsiri yako haimaanishi usahihi wowote juu ya fikra za mwingine mpaka tu pale atakapo kuhakikishia unachokiwaza


Punguza f**ng perception....
Komenti nzuri sana hii kama ataizingatia. Wishful thinking right at its peak.
 
Back
Top Bottom