Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Cha kwanza hama hapo nyumbani, huoni aibu?
Kwanza umesema wewe ni mzoefu kwa maana unaelewa anachokitaka.
Mwisho tena unasema umuelewi kwa maana hujui anachokitaka kama nimekuelewa vema.
Labda utueleweshe kipi tukusaidie hapo?
ndio ni mzoefu but simuelew nia yake coz ni NDUGU YANGU wasiwasi wangu ni kwann iwe hivo na anajua sisi ni ndugu? Umeeelewaaaa?
 
Matumizi sahihi ya FAHAMU ndio vinavyomuweka mwanadamu mbali na wanyama wa mwituni.....mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake tofauti yake na wanyama wa mwituni ni mavazi tu......!!

Rejea kwenye fahamu zako.....utapata njia ya kuepuka na huo mtihani.....
 
Jilie tu ila usisahau MREJESHO.
Habarini wadau...

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama... Amemaliza diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalm kipind hichi cha skukuu
Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usku...nikienda kweny mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii
Sasa nasindwa kumwelewa
Nisaidien
 
hivi shangazi upande wa mama ndo mama mdogo/mama mkubwa?
 
Back
Top Bottom