Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

Ndugu yangu ananitega, naombeni ushauri

tigananaJr

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
15
Reaction score
13
Habarini wadau.

Nina ndugu yangu wakike yaan ni mtoto wa shagazi yangu upande wa mama, amemaliza Diploma siku chache hapa sasa amekuja kwetu kutusalimu kipindi hichi cha sikukuu

Sasa kadri sku zinavyozidi kwenda naona signs kibao tu coz mi mwenyw mzoefu sometimes ananifata mpaka chumban kwangu usiku nikienda kwenye mishe zangu nikichelewa kurudi home anaanza kulalamika eti nilikua wapii

Sasa nasindwa kumwelewa

Nisaidieni
 
Ifikie pahala hili jukwaa tuachie watoto, siye tukatafute letu tu..!
Hapa wa kuwalaumu sio hawa watoto, tujilaumu sisi wazazi!!

Inakuaje tunawapa watoto simu ili waingie jf?

Inakuaje tunawalea watoto vibaya kiasi kwamba wanataka kulana mtu na ndugu yake?

Hapa wazazi inabidi tujilaumu na tuache kutoa visingizio kwenye mambo ya msingi!!
 
Kwamba....
Ni mtoto wa shangazi yako, upande wa mamaako..!!??
Anyway......
Kama anakutesa tu basi minaona afadhali akuungeze kabisa na tanuru la jehanam
Yaaaap
Mimi mbona naona wewe ndio tatizo......

Katika Maisha Tafsiri yako haimaanishi usahihi wowote juu ya fikra za mwingine mpaka tu pale atakapo kuhakikishia unachokiwaza


Punguza f**ng perception....
Naakili zangu timamu so naelwa whats is going on ndoo maana nimeamua kulifikisha hapa so thanks kwa ushaur
 
Back
Top Bottom