Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,906
Wapumbavu kama hao wapo wengi sana kwenye jamii zetu.
Halafu ni hao hao ukipata adha au matatizo flan ni wa kwanza kukutangaza.
Yaani kamwe hawawezi kutangaza mema uliyomfanyia kama vile kumsaidia ila ngoja upatwe na baya.
Hawatoacha kusema asilani.
Halafu ni hao hao ukipata adha au matatizo flan ni wa kwanza kukutangaza.
Yaani kamwe hawawezi kutangaza mema uliyomfanyia kama vile kumsaidia ila ngoja upatwe na baya.
Hawatoacha kusema asilani.