Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,845
- Thread starter
- #81
Wengine wanaanza kumchukia my wife wako kwamba ndiye anayezuia. Hapo ulisha wasaidia to the maximum, ukiwaambia wakuache nawe ujiweke sawa wanaanza majungu mbaya mbofu.
Oh yeah...wakati mwingine watu hutafuta scapegoat na kumdondoshea lawama na laana zote wawezazo!