Ndugu wasio na shukrani!

Ndugu wasio na shukrani!

Naam, kuishi kivyako ndo kwenyewe.

Laiti watu wengi wangekuwa na falsafa kama yangu ya 'live and let live', basi mitafaruku ingekuwa michache sana hapa duniani.

Bahati mbaya uhalisia wa maisha hauko hivyo!
Hii falsafa ndo ipi mkuu? 'Live and let live' Naomba ufafanuzi
 
Ndugu wengi sana mimi nimewapotezea....

Nna ndugu yangu mmoja huyo sasa hivi kutwa ananiomba hela
nikimtafutia kazi anaanza kusema subiri kwanza sijui nini
ila hela kuomba haachi

ndugu mzigo
unamtafutia kazi ataki ila hela anataka wakati kuna watu wengi wanashida ya kazi kweli kwenye miti hakuna wajenzi aise duuuu
 
unamtafutia kazi ataki ila hela anataka wakati kuna watu wengi wanashida ya kazi kweli kwenye miti hakuna wajenzi aise duuuu

Ndo ilivyo
kuna watu wanatafuta kazi ya udereva kwa udi na uvumba
wengine wakiipata hawaitaki
 
Ndo ilivyo
kuna watu wanatafuta kazi ya udereva kwa udi na uvumba
wengine wakiipata hawaitaki
kiongozi kazi yeyote ili mradi unapata ridhiki yako ya kila siku ndiyo maana tunasema husimpe mtu samaki mfundishe jinsi ya kuwavua samaki
 
Hivi na nyie wengine mnao ndugu wasio na shukrani?

Ndugu ambao hukukumbuka wakati wa shida zao tu?

Huwa mnakabiliana nao vipi watu wa aina hiyo?

Mimi wananikera sana kwa kweli.

Mtu anakuja na kukulilia shida zake lukuki, nawe kwa moyo mweupe kabisa unamsaidia.

Tena unamsaidia kwa kwenda mbali zaidi ya kile alichokiomba.

Cha ajabu [ingawa si ajabu kivile] ukishamsaidia tu, mwenzio anapotea.

Anapotea bila hata kutoa 'ahsante' ya msaada uliomsaidia.

Na akishapotea ndo imetoka hiyo. Kuja kusikia tena toka kwake labda ni awe na shida au kwenye msiba.

Hata salamu tu ya kujuliana hali toka kwake inakuwa tunu.

Naamini katika kutenda wema na kwenda zangu lakini pia sipendi mambo ya kufanyanya wapumb.avu.

Yaani kuniona nakufaa tu wakati wa shida zako. Ukiwa huna shida hata simu zangu hupokei.

Hovyo kabisa hao.....
Wanaona ni haki yao kupata huo msaada mkuu
 
Tatizo la ndugu wanaosaidiwa wanaona unavyo hawajui jinsi gani unajinyima
 
dawa ni kumwambia ukwel tu...

kuna mmoja ilikua kila akipga simu anapiga mizinga kosa alilofanya ni kuja kunikopa nikampa na sikumdai tena toka pale hajarud tena maana anajua tu ntakumbushia deni langu
 
Hawa ndugu waliniacha hoi siku nilipo wajibu kwamba sina, eti wakanuna.
Hapo ni baada ya kua nimewasaidia kwa miaka mingi, pamoja na kuwajengea nyumba na kuwasomeshea watoto wao.
Niliwachoka pale nilipo wapa vimiradi, then wakaviua
 
Wengine ukiwaambia huna wanaanza kukusema eti uko mchoyo.

Wahshi kabisa.
Wengine wanaanza kumchukia my wife wako kwamba ndiye anayezuia. Hapo ulisha wasaidia to the maximum, ukiwaambia wakuache nawe ujiweke sawa wanaanza majungu mbaya mbofu.
 
Back
Top Bottom