Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 854
- 448
Hii falsafa ndo ipi mkuu? 'Live and let live' Naomba ufafanuziNaam, kuishi kivyako ndo kwenyewe.
Laiti watu wengi wangekuwa na falsafa kama yangu ya 'live and let live', basi mitafaruku ingekuwa michache sana hapa duniani.
Bahati mbaya uhalisia wa maisha hauko hivyo!