Wapi alipo balozi emmanuel nchimbi?Ndugu Watanzania!
Usiku huu nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu ambaye ni mmoja wa ndugu wa Mhe. Balozi Humphrey Polepole. Nimebadilisha initials au utambulisho wake kwa sababu za kiusalama. Suala la Polepole lina simanzi isiyoisha, hivyo hatuwezi kupuuzia minong'ono yoyote kuhusu wapi alipo.
Kwa kuwa hakuna mamlaka iliyowahi kusema kuwa inamshikilia, umma umebaki kukisia na kuokoteza taarifa ikiyumkini inaweza kutokea taarifa iliyobeba ukweli. Kwa sababu hiyo hiyo ni vigumu kwa askofu kwenda kumuulizia au kumtafuta Polepole katika mamlaka yoyote ile.
Hata hivyo, nauweka ujumbe huo hapa kwa ajili kuleta hamasa ya maombi ili kumuombea hata kumpazia sauti zaidi yumkini wanaomshikilia wanaweza kuzidiwa au kuogopa kelele nyingi.
Tukikata tamaa na kuacha kupiga kelele juu ya Balozi Humphrey Polepole hata wengine kama Dioniz Kipanya, Deusdedith Soka, Kaswahili, Chaula, Mbise, Mlay, nk tutarajie watu wengi zaidi kuendelea kutekwa na kupotezwa katika siku za kwenye kipanda uso.
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 5 Agosti 2026; Saa 7:35 usiku
UJUMBE KUTOKA NDUGU WA POLEPOLE!
Nakusalimu Baba Askofu Mwamakula!
Nisamehe nakuandikia usiku. Nimeona taarifa mtandaoni, ina viashiria kuna ukweli katika hili. Ikupendeze na iwe ni vyema kwako ninaomba uende Ukonga ili kusudi ukamuone Mhe. Balozi Humphrey Polepole, kwa maelekezo ya ujumbe wa mitandaoni kuwa Polepole yupo Ukonga!
Ni mimi K. L. P.,
Ndugu yake na Humphrey Polepole.
5 Septemba 2026View attachment 3663657
Pengine bado hawajakubaliana wamfanye nini.. Kumbuka zile updates za Rachel Dangwa (Rip😪)Kweli inakanganya ila siamini kama kweli Yuko hai mpaka Sasa maana kama Yuko ukonga utawala mwingine ukija si utamtoa? Halafu itakuwa Soo kubwa zaidi?
Ndugu Watanzania!
Usiku huu nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu ambaye ni mmoja wa ndugu wa Mhe. Balozi Humphrey Polepole. Nimebadilisha initials au utambulisho wake kwa sababu za kiusalama. Suala la Polepole lina simanzi isiyoisha, hivyo hatuwezi kupuuzia minong'ono yoyote kuhusu wapi alipo.
Kwa kuwa hakuna mamlaka iliyowahi kusema kuwa inamshikilia, umma umebaki kukisia na kuokoteza taarifa ikiyumkini inaweza kutokea taarifa iliyobeba ukweli. Kwa sababu hiyo hiyo ni vigumu kwa askofu kwenda kumuulizia au kumtafuta Polepole katika mamlaka yoyote ile.
Hata hivyo, nauweka ujumbe huo hapa kwa ajili kuleta hamasa ya maombi ili kumuombea hata kumpazia sauti zaidi yumkini wanaomshikilia wanaweza kuzidiwa au kuogopa kelele nyingi.
Tukikata tamaa na kuacha kupiga kelele juu ya Balozi Humphrey Polepole hata wengine kama Dioniz Kipanya, Deusdedith Soka, Kaswahili, Chaula, Mbise, Mlay, nk tutarajie watu wengi zaidi kuendelea kutekwa na kupotezwa katika siku za kwenye kipanda uso.
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 5 Agosti 2026; Saa 7:35 usiku
UJUMBE KUTOKA NDUGU WA POLEPOLE!
Nakusalimu Baba Askofu Mwamakula!
Nisamehe nakuandikia usiku. Nimeona taarifa mtandaoni, ina viashiria kuna ukweli katika hili. Ikupendeze na iwe ni vyema kwako ninaomba uende Ukonga ili kusudi ukamuone Mhe. Balozi Humphrey Polepole, kwa maelekezo ya ujumbe wa mitandaoni kuwa Polepole yupo Ukonga!
Ni mimi K. L. P.,
Ndugu yake na Humphrey Polepole.
5 Septemba 2026View attachment 3663657
Hivi huyu raçhel dangwa kwani ilithibitishwa kweli kwamba kafia Japan? Pia sikuona hizo updates zake on polepole mkuu.Pengine bado hawajakubaliana wamfanye nini.. Kumbuka zile updates za Rachel Dangwa (Rip😪)
Rachel Dangwa atunaye?😳Pengine bado hawajakubaliana wamfanye nini.. Kumbuka zile updates za Rachel Dangwa (Rip😪)
Alikuwa anatoa updates za kuhamishwahamishwa.. Sijui kama zilikuwa halisi ama la.. Ila ukijumlisha na haya ya leo mmh..!Hivi huyu raçhel dangwa kwani ilithibitishwa kweli kwamba kafia Japan? Pia sikuona hizo updates zake on polepole mkuu.
Hii ya kuhamishwa kweli nakumbuka last time wàkasema Yuko kigamboni.Alikuwa anatoa updates za kuhamishwahamishwa.. Sijui kama zilikuwa halisi ama la.. Ila ukijumlisha na haya ya leo mmh..!
Allianza JPMUtawala huu ni wa kishetani kabisa.yaani unamteka mtu mzuri kama polepole ili upate nini?badala ya huyu mmama angekuwa anazifanyia kazi nondo zake ili kuleta maendeleo kwa wananchi. Huyu mama wakudhibiti mapema kabisa maanaana,idi kuzoea kuteka mwisho atatuteka wote.