hahaaaa....!!!ndo unaelekea kufa huko maana dah usawa huu!!wanawake mna huruma za hatari
btw geniveros kama umeamua kumsamehe msamehe tu usimseme vibaya mbele za watu ni zambi kwa mungu
kama unataka haki yako zipo sehemu sahihi za kuitafuta na utaipata tena kwa wakati
pia kulialia haikusaidii kitu you have to move on
pole sana
Pole sana mami. Dai haki yako hadi mwisho acha undugu ufe maana yeye mwenyewe ndio kasababisha kuuvunja....undugu kufaana na sio kufanana ameshatia doa kwenye undugu huo
Pole sana sana!Habarini!
Mwenzenu yamenikuta Mimi mtoto wa marehemu mama!Leo kwa Mara nyingine tena nimeona umuhimu wa kua na mama yangu mzazi duniani
Nimedhulumiwa na ndugu kabisa wa mama yangu(mdogo wake wa mwisho)
Nilimuamini akaniuzia Kiwanja na madokumenti yotee yalikuwepo kumbe yeye na mumewe matapeli watupu wa mjini hapa
Kapesa kangu mwenyewe nilikapata baada ya kuuza kabebi'woka'changu baada ya gharama za maisha kupanda auntie akaniambia ana viwanja nikaingia 'kingi'nikajaa nikalia pesa yoteee..
Ingine nikannua huko kinyerezi kwa mtu baki nisiemjua kipo salama
Huku leo nimeenda mmiliki kafyeka eneo na kulilima nikifika kumuambia anasema hajui chochote kile kinachoendelea juu ya mauziano na yeye ndo mhusika wa pale
Kumpigia simu kumuuliza ma mdogo'anauma uma mdomo tu'loohhh!!
Ndugu hawa sina hamu nao ama kweli'zimwi likujualo halikuli likawisha'
Naumia jamani,au kwa kua wameniona mtoto wa kike?
Au kwa kua nguzo yangu haipo?
Au kajua siwezi kumshtaki na kumfunga?
Mpaka presha ilishuka Leo mwenzenuu!!!
Bora nisingeuza kumbe kibebi woka changu ningeacha kife tu nifanye screpa au ile pesa bora ningejenga heshima 'Mlimani city,shoppers plaza na kariakoo'
Nishaurini jamani nifanyeje'nna huzuni mno I wish my mom would be alive anifariji'nimeenda makaburini nimeliaa Leo kama ndo amekufa sasa hivi!
Ndugu wabaya jamani!
Poleeee!Habarini!
Mwenzenu yamenikuta Mimi mtoto wa marehemu mama!Leo kwa Mara nyingine tena nimeona umuhimu wa kua na mama yangu mzazi duniani
Nimedhulumiwa na ndugu kabisa wa mama yangu(mdogo wake wa mwisho)
Nilimuamini akaniuzia Kiwanja na madokumenti yotee yalikuwepo kumbe yeye na mumewe matapeli watupu wa mjini hapa
Kapesa kangu mwenyewe nilikapata baada ya kuuza kabebi'woka'changu baada ya gharama za maisha kupanda auntie akaniambia ana viwanja nikaingia 'kingi'nikajaa nikalia pesa yoteee..
Ingine nikannua huko kinyerezi kwa mtu baki nisiemjua kipo salama
Huku leo nimeenda mmiliki kafyeka eneo na kulilima nikifika kumuambia anasema hajui chochote kile kinachoendelea juu ya mauziano na yeye ndo mhusika wa pale
Kumpigia simu kumuuliza ma mdogo'anauma uma mdomo tu'loohhh!!
Ndugu hawa sina hamu nao ama kweli'zimwi likujualo halikuli likawisha'
Naumia jamani,au kwa kua wameniona mtoto wa kike?
Au kwa kua nguzo yangu haipo?
Au kajua siwezi kumshtaki na kumfunga?
Mpaka presha ilishuka Leo mwenzenuu!!!
Bora nisingeuza kumbe kibebi woka changu ningeacha kife tu nifanye screpa au ile pesa bora ningejenga heshima 'Mlimani city,shoppers plaza na kariakoo'
Nishaurini jamani nifanyeje'nna huzuni mno I wish my mom would be alive anifariji'nimeenda makaburini nimeliaa Leo kama ndo amekufa sasa hivi!
Ndugu wabaya jamani!
btw karatasi zinasound good kuliko mwanaumeTafuta mwanaume akusimamie..
karibujf is my family u don't know how much relief I'm having right now after posting this...
u guys right this forum ni zaidi ya ndugu aiseehh!I've even started to be normal baada ya michango yenu
hahaaaa....!!!ndo unaelekea kufa huko maana dah usawa huu!!
Hilo dogo mama kunamwenzako alikuwa uarabuni akawa anatuma hela kwa Dada ake amjengee nyumba alipokuja tz hata kiwanja hakukuta sina hakika Kama walisameheana maana hadi Mzee wao anakata roho Juhudi za kuwapatanisha ziligonga mwambaHabarini!
Mwenzenu yamenikuta Mimi mtoto wa marehemu mama!Leo kwa Mara nyingine tena nimeona umuhimu wa kua na mama yangu mzazi duniani
Nimedhulumiwa na ndugu kabisa wa mama yangu(mdogo wake wa mwisho)
Nilimuamini akaniuzia Kiwanja na madokumenti yotee yalikuwepo kumbe yeye na mumewe matapeli watupu wa mjini hapa
Kapesa kangu mwenyewe nilikapata baada ya kuuza kabebi'woka'changu baada ya gharama za maisha kupanda auntie akaniambia ana viwanja nikaingia 'kingi'nikajaa nikalia pesa yoteee..
Ingine nikannua huko kinyerezi kwa mtu baki nisiemjua kipo salama
Huku leo nimeenda mmiliki kafyeka eneo na kulilima nikifika kumuambia anasema hajui chochote kile kinachoendelea juu ya mauziano na yeye ndo mhusika wa pale
Kumpigia simu kumuuliza ma mdogo'anauma uma mdomo tu'loohhh!!
Ndugu hawa sina hamu nao ama kweli'zimwi likujualo halikuli likawisha'
Naumia jamani,au kwa kua wameniona mtoto wa kike?
Au kwa kua nguzo yangu haipo?
Au kajua siwezi kumshtaki na kumfunga?
Mpaka presha ilishuka Leo mwenzenuu!!!
Bora nisingeuza kumbe kibebi woka changu ningeacha kife tu nifanye screpa au ile pesa bora ningejenga heshima 'Mlimani city,shoppers plaza na kariakoo'
Nishaurini jamani nifanyeje'nna huzuni mno I wish my mom would be alive anifariji'nimeenda makaburini nimeliaa Leo kama ndo amekufa sasa hivi!
Ndugu wabaya jamani!
lazima udugu ufee hapo yaani mubashara weee!!yaani mm nlivyo na presha ya kushuka hivi Leo yenyewe 'nilifloti'Hilo dogo mama kunamwenzako alikuwa uarabuni akawa anatuma hela kwa Dada ake amjengee nyumba alipokuja tz hata kiwanja hakukuta sina hakika Kama walisameheana maana hadi Mzee wao anakata roho Juhudi za kuwapatanisha ziligonga mwamba
Nishaurini jamani nifanyeje'nna huzuni mno I wish my mom would be alive anifariji'nimeenda makaburini nimeliaa Leo kama ndo amekufa sasa hivi!
i can't see u right there duudee...!!
u know what am talking about...!!!!
Pole sana mdau. Mwenyenzi Mungu atakushindia Maumivu yako. Utatambua sasa adui wa MTU ni wanyymbani awezae kukumiza moyo.. Ktk kufikiri hayovyote vilikuwepo Ila mashahidi ndo walikua wawili wadogo zangu pale serikali ya mtaa alikua na watu wake wote matapeli..yaani jamani acha tu